Daaah ila Muslim ni wabishi hasaa kwa hiyo unaona hiyo video ya zaman?Deep fake,huoni ipo chapchap video yenyewe
Gaidi baba yako.
Naona umeanza kuogopa kuvunwa na Netanyahu🤣🤣🤣Gaidi baba yako.
Hivi Ritz ana elimu gani? Huyu jamaa amekuwa akilishwa matango pori toka vita vimeanza. Akisimuliwa kitu na sheikh Kitinku analeta humu yaani ana akili kama za Mbayuwayu. Alishasema mara kadhaa Benj Neta ameuawa. Anadhani huyu ni kama wale wanaoishi kwenye mitaro na mashimo kama panyaWakuu,
Kuna hii video inasambaa.
Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza.
Soma pia:
Netanyahu kwenye video fupi amejitokeza na kusema kuwa yuko imara na hakuna kitu kitamdhoofisha wakati anapigana na proxies wa Iran.
Ritz ni darasa la 3B na madrasa tuHivi Ritz ana elimu gani? Huyu jamaa amekuwa akilishwa matango pori toka vita vimeanza. Akisimuliwa kitu na sheikh Kitinku analeta humu yaani ana akili kama za Mbayuwayu. Alishasema mara kadhaa Benj Neta ameuawa. Anadhani huyu ni kama wale wanaoishi kwenye mitaro na mashimo kama panya
Huyo mwamba yupo kama BULLDOGIla Neta ana sauti la kimamlaka. Kimasta
Duh, kobazi na vipedoLabda waliambiwa anafua uwani 🤣🤣🤣🤣
Kueleta news a watu wajinga jf ni ukosaji wa akili pia.. hao wapuuzi wa youtub wanaongea as if wapo chooni hawajui hata wanachokiongea news fupi wanaongea na ukisema uandike ni zaidi ya kurasa 100
View: https://youtu.be/CSHGxtrpK04?si=M1ayewY6scB3Alc9
Kwa sasa hata Benja hawezi kama hapo nyumbani sio mzembe kisasi hicho.
Ndo maana. Ni boya sana. Akisimuliwa kitu na sheikh kitinku hachanganyi na akili zake anakuja kupostRitz ni darasa la 3B na madrasa tu
Picha ya zamani wakati kwenye video kasema Jana wamemuua gaidi mkuu wa Hamas au lugha inakusumbua..Ushabiki utawafanya wehu, hapo kiubabe ki vipi hiyo ni picha ya zamani duh.
kabisa,yaani watu wanatoa ujumbe kwamba jifiche huko huko kwenye mahandaki ila ukijaa mfumoni tunakunyoa bila wembeIpo siku atajaa kwenye mfumo ajue na yeye anawindwa
Unafikiria hawatapigwa hao Iran watabondwa vizuri tuu, wanachokifanya ni kuwaandaa wana Iran na utawala mpya ambao utawapa uhuru.Iran ilishampa green light kuwa kujaribu ni bure!