Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu , natanguliza salamu za sikukuu , bila shaka mnasherekea kwa amani , hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu .
Katoliki ni taasisi kubwa sana Membe ni mseminari so hiyo ni kawaida sana!Wakuu , natanguliza salamu za sikukuu , bila shaka mnasherekea kwa amani , hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu .
Kila nikiona mtu wa upinzani akimshabikia Membe hua naona lile somo la Lowassa halikutuingia vzr.Mkuu tuachane na huyo Membe tumeshaumwa na nyoka Lowassa, hakuna mwanaccm anayetufaa tena. Ni juu yetu kuanza kudai Tume huru ya uchaguzi na tuhakikishe tunaonyesha kuwa hakuna uchaguzi chini ya tume iliyopo. Wananchi wameshaelewa, ni juu ya wapinzani kusukuma tu hiyo ajenda. Lissu kaonyesha njia jana.
Kila nikiona mtu wa upinzani akimshabikia Membe hua naona lile somo la Lowassa halikutuingia vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ndio anamfanya jiwe aanguke kwakihoro na kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kumwongezea ugonjwaWakuu , natanguliza salamu za sikukuu , bila shaka mnasherekea kwa amani , hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu .
Hivi kwa mfano hapa ni kipi cha ajabu?Wakuu , natanguliza salamu za sikukuu , bila shaka mnasherekea kwa amani , hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu .
Kwa kipi mkuu? Yani Magufuli aanguke kisa Membe?Huyu jamaa ndio anamfanya jiwe aanguke kwakihoro na kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kumwongezea ugonjwa
Nimeileta kimkakati tu , wala si lengo langu kumpeleka Membe ChademaMkuu tuachane na huyo Membe tumeshaumwa na nyoka Lowassa, hakuna mwanaccm anayetufaa tena. Ni juu yetu kuanza kudai Tume huru ya uchaguzi na tuhakikishe tunaonyesha kuwa hakuna uchaguzi chini ya tume iliyopo. Wananchi wameshaelewa, ni juu ya wapinzani kusukuma tu hiyo ajenda. Lissu kaonyesha njia jana.
Hatari huioni? Mrithi wa Pengo anamchekea mbaya wa rafiki wa Pengo!
unadhani kwanini Ngetti ametekwa mara 4 , kwani si ccm yule ?Hivi kwa mfano hapa ni kipi cha ajabu?
Membe ni ccm, na wewe ni mpinzani, unachoshangilia hapo ni kipi?
Kwamba atakuwa anateta juu ya kuitoa ccm madarakani?
Vituko vya watu wa upinzani bwana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila nikiona mtu wa upinzani akimshabikia Membe hua naona lile somo la Lowassa halikutuingia vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app