bora membe kuliko huku kiparaKila nikiona mtu wa upinzani akimshabikia Membe hua naona lile somo la Lowassa halikutuingia vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora membe kuliko huku kiparaKila nikiona mtu wa upinzani akimshabikia Membe hua naona lile somo la Lowassa halikutuingia vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Lowassa alishindwa, Membe atawezaje? Ukilijibu hili then you can keep on dreaming!Huyu jamaa ndio anamfanya jiwe aanguke kwakihoro na kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kumwongezea ugonjwa
bora membe kuliko huku kipara
Nikweli tumejifunza nini maana ya unafiki ukijua unafiki utajua nani ni mzalendo wa kweliHuyu jamaa wa kazi na Bata haufai
Ila mungu ameleta kipindi hiki kwa kazi maalumu, fate yake ni kutengeneza njia ya mabadiliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huo ubobezi wake mbona hakuutumia 2015 ili ashinde ndani ya CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkonge na Nanasi vinafanana sana katika hautua za mwanzo,lakini shubiri inafanana pia na nanasi
Na shubiri hua inatumika kama dawa ya tumbo huku Nanasi likitengeneza juice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tuachane na huyo Membe tumeshaumwa na nyoka Lowassa, hakuna mwanaccm anayetufaa tena. Ni juu yetu kuanza kudai Tume huru ya uchaguzi na tuhakikishe tunaonyesha kuwa hakuna uchaguzi chini ya tume iliyopo. Wananchi wameshaelewa, ni juu ya wapinzani kusukuma tu hiyo ajenda. Lissu kaonyesha njia jana.
Dai LA Katiba naTume Huru ya Uchaguzi halikwepeki na tuanzeni sasa kabla hatujakawia zaidi.Hawa jamaa zetu hawana nia ya kutenda hali,tukisusa wanakula na kugonga cheers!
Panic attack! Ukiona wapinzani wanaanza kushabikia chochote wanachodhani kipo against Magufuli ujue wamekata tamaa na viongozi wao!Wakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
View attachment 1303247
Ilitaka asifiwe.Hivi Ruwaich ndio yule alipoumwa kule Kcmc Magu aliagiza ndege ikamchukue haraka haraka kumleta Muhimbili sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
punde si punde watesi katika nchi hii wataanza kudai Baba Askofu Ruwaichi ni Mtaita kutoka Kenya!Wakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
View attachment 1303247
Kwa ujumla upinzani umeshakata tamaa! Dalili zinaonyesha kabisa. Ukiona wanavyomshabikia Membe unajua kabisa wako kwenye panic attack na wako tayari kushika chochote kilicho mbele yao! Hawana plan, hawana strategy, wapo kusubiri muujiza ambao hautatokea.Hawa viongozi wa upinzani bila kuwaamsha sasa watarembaremba kisha mwezi kwa tisa huu ndio wanaanza hadithi. Mwaka wote ujao kabla ya uchaguzi, ajenda iwe hiyo hiyo ya tume huru uchaguzi na katiba mpya. Kupitia mashinikizo tu ndio tutatoka hapa. Hata JK alikubali kuwa na mchakato wa katiba mpya baada ya mashinikizo, sio kwamba alikubali kwa kupenda au kuombwa maridhiano.
Sasa ni wakati gani mwanachama mpya anaaminiwa na kupewa uongozi CHADEMA?! Na anapimwa vipi kwamba hatorejea ccm au ACT?!
Mwenye strategy ni aliyesema nikulipe house allowance,dereva na bado umtangaze mbunge wa upinzani hiiiiiii.Kwa ujumla upinzani umeshakata tamaa! Dalili zinaonyesha kabisa. Ukiona wanavyomshabikia Membe unajua kabisa wako kwenye panic attack na wako tayari kushika chochote kilicho mbele yao! Hawana plan, hawana strategy, wapo kusubiri muujiza ambao hautatokea.
Uongo utakusaidia nini ?Kwa ujumla upinzani umeshakata tamaa! Dalili zinaonyesha kabisa. Ukiona wanavyomshabikia Membe unajua kabisa wako kwenye panic attack na wako tayari kushika chochote kilicho mbele yao! Hawana plan, hawana strategy, wapo kusubiri muujiza ambao hautatokea.
'Ilitaka'Ilitaka asifiwe.
Wakristo wakesema Bwana Yesu asifiwe,
Hawa watu hawana aibupunde si punde watesi katika nchi hii wataanza kudai Baba Askofu Ruwaichi ni Mtaita kutoka Kenya!