macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hamna mkakati wowote! Nakuhakikishia hamna plan yoyote! Subirini huyu Membe mnayemshabikia muone atakavyowaacha kwenye jua kali na yeye akimbilie kivulini...Nimeileta kimkakati tu , wala si lengo langu kumpeleka Membe Chadema