Video: Bernard Membe akutana na kuteta na Baba Askofu Ruwai'ch

Video: Bernard Membe akutana na kuteta na Baba Askofu Ruwai'ch

unadhani kwanini Ngetti ametekwa mara 4 , kwani si ccm yule ?

Siku hizi neno ''kutekwa''' ni fasheni....Mtu unaweza kuamua kwenda mahali labda ''grocery'' ya mafichoni kwa siku mbili ..na baadaye ukatangaza ulitekwa au ukawaambia washikaji wasambaze taarifa za "kutekwa"" kwako..
 
Oh!! Magufuli mseminari!!! Membe mseminari....aisee. hawa ni ndugu niamini Mimi.
 
2020 ni Lissu Vs Magufuli na Lissu anashinda Magufuli anatangazwa kwa Naam Wardi wangu ayuni

Niliyekuweka mwangu moyoni

Kitambo sijakutia machoni mataifa ya nje yanaingilia kati na jeshi linamtemesha tonge.
Ni ndoto Mkuu
 
Kuna mtu kasema Ruwaichi ni kada wa ccm, na wanatumika na ccm ku mediate mgogoro wa Membe na ccm, sijui kama ni kweli au hisia zao tu.

Ikiwa ni kweli, ni kwamba Ruwaichi ana rithi mikoba ya Pengo na ikiwa ndivyo, kukutana kwake na B Membe ni faida kwa ccm au wale wafuasi wa Membe?!
 
Mkuu tuachane na huyo Membe tumeshaumwa na nyoka Lowassa, hakuna mwanaccm anayetufaa tena.

Ni juu yetu kuanza kudai Tume huru ya uchaguzi na tuhakikishe tunaonyesha kuwa hakuna uchaguzi chini ya tume iliyopo.

Wananchi wameshaelewa, ni juu ya wapinzani kusukuma tu hiyo ajenda. Lissu kaonyesha njia jana.
Kamanda ndio maana nakwambia Chadema inaongozwa na walewale na tabia ni kama ngozi zaidi "you can't teach an old dogs new tricks"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari huioni? Mrithi wa Pengo anamchekea mbaya wa rafiki wa Pengo!
Hiyo clip lazima ipelekwe kule mapumzikoni ili ionwe na kujadili LA kufanya.
Nasikia hata yule aliyetekwa na kupatikana kesho yake Buguruni kaulizwa mawasiliano yake na jasusi.
Lakini pia mawasiliano yake na Msekwa na Msuya!
Chungu cha Lumumba kweli kinatokota, hakuna kuaminiana na watachapana sasa hivi. Wazee wote hawaaminiki sasa labda Mwinyi tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mnataka Membe awe mbadala wa Lowassa 2020?kweli tabia ni kama ngozi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu kasema Rwaichichi ni kada wa ccm, na wanatumika na ccm ku mediate mgogoro wa Membe na ccm, sijui kama ni kweli au hisia zao tu.

Ikiwa ni kweli, ni kwamba Rwaichichi ana rithi mikoba ya Pengo na ikiwa ndivyo, kukutana kwake na B Membe ni faida kwa ccm au wale wafuasi wa Membe?!

Mkuu hoja yako sio mbaya, ila rekebisha jina la huyo Askofu, sio Rwaichichi, bali ni Ruwaichi.
 
Magu hana sababu ya kufanya reconciliation yoyote ile na Membe maana hakuna kitu Membe anaweza akamfanya Magu.

Taasisi ya urais ni kubwa sana na ima nguvu,kama tu DG wa TISS alitumbuliwa juzi hapo fresh kabisa na hamna kitu amefanya itakua huyo Membe?

Reconciliation hua inafanyika kati ya watu wanaokaribiana nguvu sasa sioni kama Magu na Membe wanakaribiana nguvu za kisiasa au nguvu za aina yoyote ile.
Kuna mtu kasema Rwaichichi ni kada wa ccm, na wanatumika na ccm ku mediate mgogoro wa Membe na ccm, sijui kama ni kweli au hisia zao tu.

Ikiwa ni kweli, ni kwamba Rwaichichi ana rithi mikoba ya Pengo na ikiwa ndivyo, kukutana kwake na B Membe ni faida kwa ccm au wale wafuasi wa Membe?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom