Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Membe wa nini.. sisi tunataka katiba mpya itakayo punguza madaraka ya rais, ongeza ufanisi wa tume ya uchaguzi na mahakama.
Nipo tayari kuchangia fedha kwa chama kinacho tafuta katiba mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo tayari kuchangia fedha kwa chama kinacho tafuta katiba mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app