VIDEO: Biden aitamka Iran badala ya Ukraine kwenye hotuba muhimu ya hali ya kitaifa (sotu)

VIDEO: Biden aitamka Iran badala ya Ukraine kwenye hotuba muhimu ya hali ya kitaifa (sotu)

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
State of the union ni hotuba yenye uzito mkubw ambayo hutolewa na raisi wa marekani mara moja kwa mwaka kuhusu ya hali ya kitaifa.

Jana yalitokea mambo ya kushangaza kwenye hii hotuba, Joe Biden ana ugonjwa wa akili wa "Dimentia" anaouficha ila huwa unamuumbua mara kwa mara hadharani, hapo jana wakati akitoa hotuba, akili yake ilidhani kwamba vita ipo Iran badala ya Ukrane lakini bado hata baada ya kusema hivyo hakuweza kutambua kama kuna kosa lolote maana kwa ugonjwa alionao hata anachoongea huwa anasahau, afya yake dhaifu ni kikwazo kikubwa sana katika uongozi wa marekani.

Media uchwara kama Cnn na Bbc zipo kimya kuhusu hili jambo, ila angekuwa ni Trump basi leo pangewaka moto ingekua ndio habari ya wiki nzima, wange push kabisa awe impeached kwa madai ya sababu za afya ya akili. Ila kwa sababu ni Biden ambae katokea chama cha Democrats wameamua kutulia.

 
Naona umechanganyikiwa na Amercan english.
Kama huwezi kutambua matamshi ya wamarekani utapata tabu sana.

Sikunyingine ukisikia mmarekani anasema, "Barofield' ujue ndio "battlefield."
 
Ni kawaida ya Biden wala sio ajabu kwa wanaomjua..., labda ni ile stammer yake au basi tu ndio alivyo..., ila in other departments yupo Okay....
 
Why Iran badala ya Ukraine,
Lazima kuna kilinganishi.

Also that man is too old to ongaza dunia
 
Ni kawaida hata nanihii alisema Saddam ni wa Kuwait sijui Libya🐒
 
Naona umechanganyikiwa na Amercan english.
Kama huwezi kutambua matamshi ya wamarekani utapata tabu sana.

Sikunyingine ukisikia mmarekani anasema, "Barofield' ujue ndio "battlefield."
huenda huna hata bando la kucheki video, kama vipi nenda vyuo vyenye wifi za bure 😂😂
 
Ni kawaida hata nanihii alisema Saddam ni wa Kuwait sijui Libya🐒
Ni kawaida ya Biden wala sio ajabu kwa wanaomjua..., labda ni ile stammer yake au basi tu ndio alivyo..., ila in other departments yupo Okay....
Sio kawaida ila inafanywa ionekane kawaida na media kuwa brain wash watu kama wewe muone ni kawaida.

kwa raisi kuwa hii hali haipendezi.
 
Why Iran badala ya Ukraine,
Lazima kuna kilinganishi.

Also that man is too old to ongaza dunia
Ajabu ni kwamba media uchwara kama cnn zipo kimya.

angekuwa yule mwengine leo kungewaka moto, wangeleta pendekezo la kumu impeach kabisa 🔥
 
Sio kawaida ila inafanywa ionekane kawaida na media kuwa brain wash watu kama wewe muone ni kawaida.

kwa raisi kuwa hii hali haipendezi.
Unamjua Biden ?

Uliza tangia kitambo statement ambazo huwa anatoa anavyokosea

Hii mbona ni well known fact..., Yaani the word Gaffes na Biden ni one and the same..., na hii sio uzeeni he has always been like that....
 
Mbona ametamka Ukranian tofauti na unavyodai... Unajua Kingereza kweli?

Na hayo makofi ni bipartisan, siyo kutoka kwa Democrats pekee.

Paw na mods wengine fanyeni kazi yenu kwenye huu uzi.

Hii ni disinformation.
 
Naona umechanganyikiwa na Amercan english.
Kama huwezi kutambua matamshi ya wamarekani utapata tabu sana.

Sikunyingine ukisikia mmarekani anasema, "Barofield' ujue ndio "battlefield."
Next time uwe unafungua video kabla ya kutoa maoni.
 
Naona umechanganyikiwa na Amercan english.
Kama huwezi kutambua matamshi ya wamarekani utapata tabu sana.

Sikunyingine ukisikia mmarekani anasema, "Barofield' ujue ndio "battlefield."
Next time uwe unafungua video kabla ya kutoa maoni.
 
State of the union ni hotuba yenye uzito mkubw ambayo hutolewa na raisi wa marekani mara moja kwa mwaka kuhusu ya hali ya kitaifa.

Jana yalitokea mambo ya kushangaza kwenye hii hotuba, Joe Biden ana ugonjwa wa akili wa "Dimentia" anaouficha ila huwa unamuumbua mara kwa mara hadharani, hapo jana wakati akitoa hotuba, akili yake ilidhani kwamba vita ipo Iran badala ya Ukrane lakini bado hata baada ya kusema hivyo hakuweza kutambua kama kuna kosa lolote maana kwa ugonjwa alionao hata anachoongea huwa anasahau, afya yake dhaifu ni kikwazo kikubwa sana katika uongozi wa marekani.

Media uchwara kama Cnn na Bbc zipo kimya kuhusu hili jambo, ila angekuwa ni Trump basi leo pangewaka moto ingekua ndio habari ya wiki nzima, wange push kabisa awe impeached kwa madai ya sababu za afya ya akili. Ila kwa sababu ni Biden ambae katokea chama cha Democrats wameamua kutulia.

View attachment 2136198
Kuna watu wengine mna ufala mwingi sana.
 
Next time uwe unafungua video kabla ya kutoa maoni.
Nilifungua nikasikiliza ndio maana nikasema lazma kuwa mjuzi wa kusikikiza matamshi ilikuelewa neno lililo tamkwa.

Mletauzi hakusikia neno K ambalo babu amelibana kwenye koo wakati anatamka wanao elewa lafudhi za haowatu wanajua namaanisha nini.
 
Back
Top Bottom