Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kijana aliyefahamika kwa jina la Mussa Ally mkazi wa Sahare, Jijini Tanga amemtuhumu Bondia wa Ngumi nchini, Hassan Mwakinyo Kumshambulia kwa kisu, na kumfungulia mbwa wanne Majira ya saa 12 Alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa Sahare Vijijini

Soma Pia: Mwakinyo anashikiliwa na jeshi la Polisi tangu jana Alhamis 6 March, 2025

Akiongea kwa Maumivu ya Majeraha hayo akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo, Mussa amesema aliamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye shughuli zake za kila siku, na alipokuwa njiani alikutana na nazi ambazo akaanza kuziokota.
 
Nimemskia huyo kijana aisee amefanyiwa kitendo cha kinyama sana...!!

Huyo mwakinyo ngumi zimemshinda amebaki kumake headline kwa mambo ya kipuuzi kama hili la kuonea watu, mjinga sana huyo mwa k
 
Kwa nini hakutumia ngumi akatumia kisu...mwakinyo ni boya
 
Mwakinyo ni mpumbavu, alipata vi hela akakarabati nyumba yao makorora then akafungia kila mtu Vioo, aliacha salimia watu hata misiba ya jirani zao aliacha hudhurua. Alipandisha mabega mno
Ile Nyumba anakaa kuukuu Kama ghofu ndo alikarabati ?

Then huyo jamaa huwa hayupo smart katika kufanya maamuzi anaishi na Phobia fulani in his mind
 
Kijana aliyefahamika kwa jina la Mussa Ally mkazi wa Sahare, Jijini Tanga amemtuhumu Bondia wa Ngumi nchini, Hassan Mwakinyo Kumshambulia kwa kisu, na kumfungulia mbwa wanne Majira ya saa 12 Alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa Sahare Vijijini

Soma Pia: Mwakinyo anashikiliwa na jeshi la Polisi tangu jana Alhamis 6 March, 2025

Akiongea kwa Maumivu ya Majeraha hayo akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo, Mussa amesema aliamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye shughuli zake za kila siku, na alipokuwa njiani alikutana na nazi ambazo akaanza kuziokota.
Kwa maoni yangu.
Huyu kijana anaonekana alikuwa mwizi nimemsoma Saikolojia yake tu huyu ni kibaka.
Ila mwakinyo nae ni Mswahili sana maana mtu mwenye kariba kama yake angetakiwa kumpiga makofi mawil matatu then ampeleke kwenye vyombo vya dola.
Dogo akipata mawakili wazuri mwakinyo inamtoka pesa ndefu tu
 
Back
Top Bottom