Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
MwiziDogo aeleze vizuri alikuwa haibi kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwiziDogo aeleze vizuri alikuwa haibi kweli?
Alikutana na nazi, kwani nazi zilikuwa zinatoka wapi?Kijana aliyefahamika kwa jina la Mussa Ally mkazi wa Sahare, Jijini Tanga amemtuhumu Bondia wa Ngumi nchini, Hassan Mwakinyo Kumshambulia kwa kisu, na kumfungulia mbwa wanne Majira ya saa 12 Alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa Sahare Vijijini
Soma Pia: Mwakinyo anashikiliwa na jeshi la Polisi tangu jana Alhamis 6 March, 2025
Akiongea kwa Maumivu ya Majeraha hayo akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo, Mussa amesema aliamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye shughuli zake za kila siku, na alipokuwa njiani alikutana na nazi ambazo akaanza kuziokota.
Ufukara uliopitiliza ni upi?Ndio, nadhan Amekulia kwenye ufukara uliopitiliza.
Mbona Toka ameanza mpaka Sasa ni muda mrefu?mwakinyo ni mshamba na hajawahi kuwa na akili. tangu amtolee maneno machafu yule sinior boxer kipindi kile niliona huyo hata ngumi hana muda mrefu.
Hivi hujajiuliza huyo dogo alikuwa anaokota nazi kwenye shamba la nani?mwakinyo ni mshamba na hajawahi kuwa na akili. tangu amtolee maneno machafu yule sinior boxer kipindi kile niliona huyo hata ngumi hana muda mrefu.
kuokota kitu SIO WIZI.mbaya kupanda kuchuma. mwenye shamba yeyote hawezi kukudhuru akikuona unaokota matunda au mazao yakeMwizi huyo unaokotaje nazi ?
Hata kama alikuwa anaiba hakupaswa kumfanyia ivo ...angemweka chini ya ulinzi na kumkabidhi kwa vyombo vya usalamaDogo aeleze vizuri alikuwa haibi kweli?
06 March 2025
Sahare, Tanga Mjini
Tanzania
WANANCHI WADAI WALISIKIA KELELE ZA KIJANA KUANZIA SAA KUMI ZA USIKU (ALFAJIRI), ILA HAWAKUJUA ZINATOKEA WAPI ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=9LMiRhua7qs
Wakaazi wa kitongoji cha Sahare mjini Tanga, wadai watoto / vijana wa Sahare hawawezi kujizuia kwa kuwa ni waroho / wamelo wa maembe, nazi n.k hivyo ni hatari ....
Kwani inaruhusiwa kuokota mazao kwenye shamba la mtu?kuokota kitu SIO WIZI.mbaya kupanda kuchuma. mwenye shamba yeyote hawezi kukudhuru akikuona unaokota matunda au mazao yake
Sio kosa kuzaliwa kwenye ufukara uliopitiliza kitu ambacho asilimia kubwa ya watanzania ni mafukara mpaka Sasa lakini huyo jamaa ni trespasser kavamia enea la watu ingekuwa South angepigwa bombaNdio, nadhan Amekulia kwenye ufukara uliopitiliza.
Nani alikwambia wizi ni mpaka uchume tu na ukiokota sio wizi?kuokota kitu SIO WIZI.mbaya kupanda kuchuma. mwenye shamba yeyote hawezi kukudhuru akikuona unaokota matunda au mazao yake
inaruhusiwa.haujaiba umeokota.Kwani inaruhusiwa kuokota mazao kwenye shamba la mtu?
kilichoanguka chini sio mali yako.kwa hyo ukiokota hela unakuwa umeiba?Nani alikwambia wizi ni mpaka uchume tu na ukiokota sio wizi?