Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

Kijana aliyefahamika kwa jina la Mussa Ally mkazi wa Sahare, Jijini Tanga amemtuhumu Bondia wa Ngumi nchini, Hassan Mwakinyo Kumshambulia kwa kisu, na kumfungulia mbwa wanne Majira ya saa 12 Alfajiri alipokuwa akiokota nazi zilizokuwepo barabarani katika mtaa wa Sahare Vijijini

Soma Pia: Mwakinyo anashikiliwa na jeshi la Polisi tangu jana Alhamis 6 March, 2025

Akiongea kwa Maumivu ya Majeraha hayo akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo, Mussa amesema aliamka asubuhi kwa ajili ya kwenda kwenye shughuli zake za kila siku, na alipokuwa njiani alikutana na nazi ambazo akaanza kuziokota.
Alikutana na nazi, kwani nazi zilikuwa zinatoka wapi?
 
Huyu kijana ni mwizi sasa nazi zipo kwenye wavu hlf ety naziokota umepata ulichokitaka
 
06 March 2025
Sahare, Tanga Mjini
Tanzania

WANANCHI WADAI WALISIKIA KELELE ZA KIJANA KUANZIA SAA KUMI ZA USIKU (ALFAJIRI), ILA HAWAKUJUA ZINATOKEA WAPI ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=9LMiRhua7qs
Wakaazi wa kitongoji cha Sahare mjini Tanga, wadai watoto / vijana wa Sahare hawawezi kujizuia kwa kuwa ni waroho / wamelo wa maembe, nazi n.k hivyo ni hatari ....
 
Robot ya JamiiForums habari za kiuchunguzi za tuhuma za jinai, zinawekwa Jukwaa lisilo sahihi la JamiiSports.

Moderator JamiiForums chukueni jukumu kwa kutwaa hatamu kutoka kwa JamiiForums Robot, habari hii iwe katika jukwaa la Habari Mchanganyiko
 
06 March 2025
Sahare, Tanga Mjini
Tanzania

WANANCHI WADAI WALISIKIA KELELE ZA KIJANA KUANZIA SAA KUMI ZA USIKU (ALFAJIRI), ILA HAWAKUJUA ZINATOKEA WAPI ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=9LMiRhua7qs
Wakaazi wa kitongoji cha Sahare mjini Tanga, wadai watoto / vijana wa Sahare hawawezi kujizuia kwa kuwa ni waroho / wamelo wa maembe, nazi n.k hivyo ni hatari ....

Kwaiyo wao wasikie kelele harafu wakaushe tu je Sasa wanatolea ufafanuzi wa jambo ambalo hawakijui?
 
Ndio, nadhan Amekulia kwenye ufukara uliopitiliza.
Sio kosa kuzaliwa kwenye ufukara uliopitiliza kitu ambacho asilimia kubwa ya watanzania ni mafukara mpaka Sasa lakini huyo jamaa ni trespasser kavamia enea la watu ingekuwa South angepigwa bomba
 
Back
Top Bottom