Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

Mfundishe mwanao asiwe mwizi, akiwa mwizi atachomwa moto mbele yako na usifanye chochote. Yaani huyo dogo anasema alikutana na nazi akaokota hizo nazi zilitoka wapi? Je kama yeye angeingia ndani na kumvamia na kumuua huyo mwenye mali ungesemaje.
Kuna mwenzako aliingia kwangu kachukua vitu maana alijua watu wote wamesafiri maana mimi sikai home kumbe mimi nimerudi. Nilimvinya vya kutosha kwa mazoezi wala sikumgusa ila wakashindwa kutembea vizuri.
Alivyo toka nje kaa siku tatu sijui walishaulina nini na watu wake eti wanakuja kudai mimi nilimkamata akiwa anapita njiani nikamwingiza ndani ya gate. Kwahiyo watanishitaki nikasema nenda huko mnakotaka, hawajui kuwa nime install cctv camera tena kwa ujinga wao ni yale makamera yanayo onekana kabisa, nikamwita mjumbe nikamuonyesha alivyokuwa anaruka ukuta, anabeba vitu na vibaiskeli vya watoto. Wakabaki wanashangaa kumbe kanipaka mbaya kuwa mimi ni katili kibaya zaidi ni mzawa na mimi ni mgeni.
Hata siku moja usicheke na mtu anaye kuja kukuibia na hakuna mwizi mdogo wala mwizi mkubwa wote ni wezi wakikupata kwenye 18 zao wanakuua bila huruma
Unabwabwaja hapa lakini huyo Mwakinyo ndiyo hivyo tena. Hakuna shirikisho litakalokubali apigane kwenye ulingo. Kwako wewe unaweza kuendelea kusema chochote kwani huathiriki.
 
Huyu kijana ni mwizi sasa nazi zipo kwenye wavu hlf ety naziokota umepata ulichokitaka
Kweli Sema utetezi wake wa kijinga Sana kuwa alikuwa anaenda kazini kakutana na nazi sita zimepangwa kaamua kuokota na anasema zilikuwa zinaonekana zimetegwa

Ujinga haufai kabisa
 
Unajuaje kuwa zilikuwa nazi, Je huyo mwakinyo akija kuthibitisha kuwa aliiba vitu vingine utasemaje. Labda walikuwa anapambana kulinda mali zake na mwizi alishindwa nguvu.
Hata siku moja usije kuhukumu kwa kusikiliza upande mmoja.

Pia amepataje pf3 ya kutibiwa?
Mzozo ungemalizwa na CCTV kama mwakinyo kafunga.

Maana kila mtu atavutia upande wa kwake ,"Mwizi" amesema kaokotoa nazi 6 nje ya fense then mwakinyo akaja kumkamata nje ya fense akamuingiza ndani akafungulia mbwa,kama CCTV zipo matukio yote yataonekana.
 
Mzozo ungemalizwa na CCTV kama mwakinyo kafunga.

Maana kila mtu atavutia upande wa kwake ,"Mwizi" amesema kaokotoa nazi 6 nje ya fense then mwakinyo akaja kumkamata nje ya fense akamuingiza ndani akafungulia mbwa,kama CCTV zipo matukio yote yataonekana.
Obvious usiku lazima mtu afungulie mbwa Sasa anafuga mbwa wa Nini kama Hadi usiku kawafungia bandani

Hata ungekuwa wewe ndo mwizi usingekubali kusema ulikuwa ndani ya fensi ya mtu ulipokamatwa
 
Kwa maoni yangu.
Huyu kijana anaonekana alikuwa mwizi nimemsoma Saikolojia yake tu huyu ni kibaka.
Ila mwakinyo nae ni Mswahili sana maana mtu mwenye kariba kama yake angetakiwa kumpiga makofi mawil matatu then ampeleke kwenye vyombo vya dola.
Dogo akipata mawakili wazuri mwakinyo inamtoka pesa ndefu tu
Kama kang'atwa na mbwa hakuna kesi
 
Wanasheria wamsimamie huyo dogo apate stahiki zake. Hiyo kesi ni pesa tupu aisee.

Mwakinyo either aende jela ama alipe mamilioni ya pesa ili dogo auage umaskini jumla jumla
 
Huyu kijana ni mwizi sasa nazi zipo kwenye wavu hlf ety naziokota umepata ulichokitaka
angemkamata juu ya mnazi wake anatungua nazi hapo mwakinyo ana haki ila kama kijana aliziokota nje. basi mwakinyo ana kesi ya kujibu.

Halafu wadigo wanathamini nazi kuliko uhai wa mtu?

huyo dogo akipata wanasheria wazuri huyo mwakinyo lazima aende jela au alipe fidia ya mamilioni ya pesa kwa kufanya shambulizi la kutaka kuua
 
Hii kesi hii inakoelekea.Kitendo cha Mwakinyo sio cha kiungwana.Afungwe Miak 5 akakutane na Wababe Gerezani.Huyo Bwana Mdogo naye aache kabisa kuokota nazi za Mtego
 
Huyu kijana ni mwizi sasa nazi zipo kwenye wavu hlf ety naziokota umepata ulichokitaka
Tatizo si wizi.Tatizo ni namna uhalifu ulivotatuliwa kwa uhalifu.Kumashambulia Mtu ni uhalifu so naye Mwakinyo amepata anachokitaka
 
Nimemskia huyo kijana aisee amefanyiwa kitendo cha kinyama sana...!!

Huyo mwakinyo ngumi zimemshinda amebaki kumake headline kwa mambo ya kipuuzi kama hili la kuonea watu, mjinga sana huyo mwa k
😳😳😳😳😳
 
Mwakinyo anaweza kudai fidia ya nazi 6 na akalipwa ila yeye amefanya kosa la Jinai kutaka kumuua dogo .

Huwezi kufanya ukatili wa kumfungia binadamu katika banda la mbwa. Kwanza hutujui kama hao mbwa ni salama hawana virusi vya rabies ama laa
 
Mwakinyo anaweza kudai fidia ya nazi 6 na akalipwa ila yeye amefanya kosa la Jinai kutaka kumuua dogo .

Huwezi kufanya ukatili wa kumfungia binadamu katika banda la mbwa. Kwanza hutujui kama hao mbwa ni salama hawana virusi vya rabies ama laa
Kwa wale mbwa wa mwakinyo angemfungia nao bandani huyo dogo angekuwa marehemu
 
Unabwabwaja hapa lakini huyo Mwakinyo ndiyo hivyo tena. Hakuna shirikisho litakalokubali apigane kwenye ulingo. Kwako wewe unaweza kuendelea kusema chochote kwani huathiriki.
Mala ya mwisho kamchapa mtu masaki
 
N
Mwakinyo anaweza kudai fidia ya nazi 6 na akalipwa ila yeye amefanya kosa la Jinai kutaka kumuua dogo .

Huwezi kufanya ukatili wa kumfungia binadamu katika banda la mbwa. Kwanza hutujui kama hao mbwa ni salama hawana virusi vya rabies ama laa
Ndugu unajuaje kuwa alifungiwa kwenye banda na mbwa? Sisi binadamu tuna uwongo mwingi sana tunapotafuta huruma kwa watu. Kwanini iwe yeye tu afungiwe kwani hakuna watu wengine wanapita hapo?
 
Kwa jinsi ulivyoshambulia huu uzi ni dhairi wewe ni chawa wa huyo mpuuzi na limbukeni mwakinyo...!! Hakuna uthibitisho wowote kuwa huyo kijana alikuwa ni mwizi ukiskiliza maelezo ya pande zote mbili, bqli ni hisia zenu na kujishtukia mkidhqni kwamba mnaibiwa, japo sidhani kama huyo mwakinyo ana kitu chochote cha maana cha kuibiwa.

Acheni uonevu kisa tu mnajulikana kibongo bongo
Mwakinyo ana nazi ambazo dogo alikuwa anaziiba.
 
Back
Top Bottom