Video: Busara za Mzee Kinana zilivyogusa hisia za wasikilizaji

Video: Busara za Mzee Kinana zilivyogusa hisia za wasikilizaji

Kuna msemo wa Kiswahili unaodai kwamba Wazee ni hazina, ama unaweza kusema Mkubwa dawa.
View attachment 1354403

Kinana


Kina.jpg


Magufuli


Maguful.jpg
 
Mkuu ukimtaja huyo mtu huu uzi waweza kuondolewa
Hebu ngoja:

Sijui kwa nini, lakini haijawahi kutokea niwaze jingine lolote juu yako hadi leo hii. Sasa hivi.

Sijui ni kitu gani kimenielekeza niangalie kwa karibu hiyo 'Avatar' yako!

Basi, ni hilo tu mkuu wangu Erythrocyte.
 
Natamani hii kideo iwe ya leo leo jamani
Pole mkuu,sema tu watanzania tu wagumu kujifunza na kuelewa mambo.Kama unataka ujumbe huu umfikie magufuli,magufuli si mtu wa kusikia na kuelewa then akachukua hatua,hulka ya magufuli ni ugomvi ,visasi etc.is like mnyama simba,mnyama simba ukimrushia mkuki umpate,usimpate lazima aje kupambana na wewe,either akuumize au yeye aumie,simba hakimbii eti kwa kuwa una mkuki au akimbie kwa kuwa umemurushia mkuki,.Magufuli anasikia damu zikianza kumtoka, otherwise hajari..wazungu wenye akili waliliona hili and you can see mambo yanayoendelea nchini baada ya damu kuanza kumtoka
 
Hivi sasa Kinana sio jangili wa meno ya tembo tena. Mnabadilika badilika sana nyie makamanda uchwara.
Mkuu hujawahi kuona saa mbovu ikionesha muda sahihi sometime? au wewe hata huo muda sahihi iliyouonesha huwa unaukataa kwa kuwa saa ni mbovu? au you think jangiri hana akili na hawezi fanya jambo jema nje ya ujangiri wake?I dont believe wanaccm tunaakili ndogo kiasi hiki
 
Ila ni Kanali huyo! Na makambini bado wapo rafiki zake kibao.
Ndio yale ya NIGUSE NINUKE

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa akili kama hizi kweli ccm itatawala milele!

Yani mtu unajifariji kwa kujitia moyo kwamba kuna siku Magufuli atapinduliwa kwasababu ya huruma kwa Kinana?

Ok mmchukueni huko chadema mkuu ili wanajeshi waiunge mkono chadema sababu ya Kinana.
[emoji3][emoji3][emoji3]How came Lowasa alitegemea watu wajinga kiasi hiki kwamba watamsaidia kwenda Ikulu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kenye maelekezo mnayopewa na Polepole huwa ni lazima kila siku mumtaje mbowe hata mahali asipohusika?
Huyo mkungu alipewa mimba na mbowe aka achwa usishangae hata kunyimwa mikopo na benki ya dunia ata msingizia ni mbowe
 
Back
Top Bottom