Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Inje na kale kalafudhi ka kuluga Chao anamsaada gani Kwa Taifa hiili. Mikutano yake anataka ushuda tuuu, kana kwamba ndizo KERO za watanzania. Taja msaada alionao tangu awepo bungeni Hadi leo..wenzako wamemfuatilia walipomshindwa kwa hoja wakaamua kumshindilia risasi.
Inje na kale kalafudhi ka kuluga Chao anamsaada gani Kwa Taifa hiili. Mikutano yake anataka ushuda tuuu, kana kwamba ndizo KERO za watanzania. Taja msaada alionao tangu awepo bungeni Hadi leo
Mimi nafaham mchango wake ni hako kalafudhi kake ka Lugha zetu za kibantu. Nje na hako taja faida za huyu kijana tangu akiwa bungeni mpaka Leo Kwa Taifa letu mpaka watanzania wamuone wa thamanii. Nitajie Moja tuuu..kila mtu ana lafudhi.
..Na asilimia kubwa ya Watz Kiswahili sio lugha yetu ya kwanza.
..kama huujui na huutambui mchango wa Lissu ktk nchi yetu tatizo ni lako wewe.
Mwenye faida kwako ni nani? Ni wale waliyoanzisha kupita bila kupingwa? au ni wale waliobuni bunge lisilo na meno? au ni wale wanaofurahia taarifa za wizi unaoanikwa na CAG na hawachukui hatua?Tueleze wewe unayemkubali.Mimi nafaham mchango wake ni hako kalafudhi kake ka Lugha zetu za kibantu. Nje na hako taja faida za huyu kijana tangu akiwa bungeni mpaka Leo Kwa Taifa letu mpaka watanzania wamuone wa thamanii. Nitajie Moja tuuu
Mimi nafaham mchango wake ni hako kalafudhi kake ka Lugha zetu za kibantu. Nje na hako taja faida za huyu kijana tangu akiwa bungeni mpaka Leo Kwa Taifa letu mpaka watanzania wamuone wa thamanii. Nitajie Moja tuuu
Nahisi hauna akili broKapigwa risasi kwa amri ya jiwe
1. aweke ushahidi mezani
2. atoe ushirikiano polisi na wapelelezi
3. aombe kupitia mahakama atumie wapelelezi binafsi ambao wapo hapa nchini au kutoka nchi za nje wapeleleze kesi yake tujue ukweli
Meengi anayosema hayalingani na uhalisia- ukiacha kupigwa risasi amabayo ni FACT mengine yote ni mauzauza.
Mara ya mwisho bwana huyu alikuwa na mteja wake- Mh. Mbowe. Mh. Mbowe ndiye anayepaswa kuisaidia polisi kupelelez ayu wapi Ben. Kwa maelezo ya Katibu Mkuu wa zamani wa CHADEMA, CHADEMA wanakikosi cha utekaji, upotezaji, uuuwaji kinachongozwa kwa namna ambayo katibu mkuu hajui. Kikosi hicho kilishiriki kifo cha Cha Wangwe.
Maiti baharini
Pole nasikia moja ya maiti hizo ilikuwa ya babu yako mzaa mmeo
Taja mchango wake hiyooo jamaa yenuu acha ukanjaanjaa..Lissu yuko kwenye harakati tangu mwaka 1994/95.
..kama huujui au huutambui mchango wake utakuwa na tatizo kubwa la ufahamu na mtizamo.
ππππ Mimi siyo huyoLucas mwashambwa popote uliopo, eti huyu jamaa ndiyo wewe?
Mbona kwenye kuandika huwa unajitahidi tahidi kupiga propaganda yenye akili kidogo? Mbona kwenye kutumia mdomo mdogo unaonesha wazi kuwa huna akili na ufahamu?
Si wote tulio "hopeless"...[emoji1787]Hawa ndio CCM tupo nao humu JF. Hopeless kabisa
Aiiseeee!Noma sana , unaweza kukuta huyo jamaa ndio Lukas Mwashambwa
πππ Mimi siyo huyo,kwanza si amejitambulisha jina lake hapo mwishoni dakika ya 8Noma sana , unaweza kukuta huyo jamaa ndio Lukas Mwashambwa
πππ Siyo MimiNi mwenzetu humu Jf, anaitwa Lucas
[emoji1787][emoji1787]Hamid Kombo?
Jamaa anajitambua kwamba Tanzania na Rais Samia ni mali zake.
Jamaa anamfukuza Tundu Lissu aondoke kwenye taifa lake na Rais wake.
Anawasemea raia wote wa Tanzania ambao ni mali yake yeye.
Yaani jamaa anazungumza kama mtoto wa chekechea..Hamid Kombo?
Jamaa anajitambua kwamba Tanzania na Rais Samia ni mali zake.
Jamaa anamfukuza Tundu Lissu aondoke kwenye taifa lake na Rais wake.
Anawasemea raia wote wa Tanzania ambao ni mali yake yeye.
Chekechea ipi ,zipo zingine hukuti aina ya huyo mtuYaani jamaa anazungumza kama mtoto wa chekechea..
Na ujinga wa watawala wa nchi chini ya CCM jinsi ulivyo, usishangae jamaa akapewa u - DC wa Wilaya ya Ubungo..!!
Unaweza kukuta miaka hiyo huyo alikuwa hajazaliwa au ndiyo kwanza alikuwa bado ananyonya!!!..Lissu yuko kwenye harakati tangu mwaka 1994/95.
..kama huujui au huutambui mchango wake utakuwa na tatizo kubwa la ufahamu na mtizamo.