Video: CCM imeishiwa vichwa vyenye akili bila shaka. Hivi watu wa dizaini hii ndiyo mnawapanga kujibu hoja za mtu kama Tundu Lissu kweli?

..wenzako wamemfuatilia walipomshindwa kwa hoja wakaamua kumshindilia risasi.
Inje na kale kalafudhi ka kuluga Chao anamsaada gani Kwa Taifa hiili. Mikutano yake anataka ushuda tuuu, kana kwamba ndizo KERO za watanzania. Taja msaada alionao tangu awepo bungeni Hadi leo
 
Inje na kale kalafudhi ka kuluga Chao anamsaada gani Kwa Taifa hiili. Mikutano yake anataka ushuda tuuu, kana kwamba ndizo KERO za watanzania. Taja msaada alionao tangu awepo bungeni Hadi leo

..kila mtu ana lafudhi.

..Na asilimia kubwa ya Watz Kiswahili sio lugha yetu ya kwanza.

..kama huujui na huutambui mchango wa Lissu ktk nchi yetu tatizo ni lako wewe.
 
..kila mtu ana lafudhi.

..Na asilimia kubwa ya Watz Kiswahili sio lugha yetu ya kwanza.

..kama huujui na huutambui mchango wa Lissu ktk nchi yetu tatizo ni lako wewe.
Mimi nafaham mchango wake ni hako kalafudhi kake ka Lugha zetu za kibantu. Nje na hako taja faida za huyu kijana tangu akiwa bungeni mpaka Leo Kwa Taifa letu mpaka watanzania wamuone wa thamanii. Nitajie Moja tuuu
 
Mimi nafaham mchango wake ni hako kalafudhi kake ka Lugha zetu za kibantu. Nje na hako taja faida za huyu kijana tangu akiwa bungeni mpaka Leo Kwa Taifa letu mpaka watanzania wamuone wa thamanii. Nitajie Moja tuuu
Mwenye faida kwako ni nani? Ni wale waliyoanzisha kupita bila kupingwa? au ni wale waliobuni bunge lisilo na meno? au ni wale wanaofurahia taarifa za wizi unaoanikwa na CAG na hawachukui hatua?Tueleze wewe unayemkubali.
 
Mimi nafaham mchango wake ni hako kalafudhi kake ka Lugha zetu za kibantu. Nje na hako taja faida za huyu kijana tangu akiwa bungeni mpaka Leo Kwa Taifa letu mpaka watanzania wamuone wa thamanii. Nitajie Moja tuuu

..Lissu yuko kwenye harakati tangu mwaka 1994/95.

..kama huujui au huutambui mchango wake utakuwa na tatizo kubwa la ufahamu na mtizamo.
 
Nahisi hauna akili bro
 
Noma sana , unaweza kukuta huyo jamaa ndio Lukas Mwashambwa
Aiiseeee!

Huyo jamaa anayo stamina ya ajabu sana na mambo yake anayoyapenda. Hakati tamaa! Yeye anaona kila kitu kiko sawa kwa asili mia zote, mradi tu mambo hayo yanahusu mtu wake.

Lakini mpe haki yake huyu Lukas. Anao uwezo wa kupamba. Akimshika nguruwe na kuanza kumpamba, akamwekea hina na matakataka mengine, huyo nguruwe huwezi kamwe kumtambua kuwa ni nguruwe.
 
Hamid Kombo?

Jamaa anajitambua kwamba Tanzania na Rais Samia ni mali zake.
Jamaa anamfukuza Tundu Lissu aondoke kwenye taifa lake na Rais wake.

Anawasemea raia wote wa Tanzania ambao ni mali yake yeye.
 
Hamid Kombo?

Jamaa anajitambua kwamba Tanzania na Rais Samia ni mali zake.
Jamaa anamfukuza Tundu Lissu aondoke kwenye taifa lake na Rais wake.

Anawasemea raia wote wa Tanzania ambao ni mali yake yeye.
[emoji1787][emoji1787]
 
Hamid Kombo?

Jamaa anajitambua kwamba Tanzania na Rais Samia ni mali zake.
Jamaa anamfukuza Tundu Lissu aondoke kwenye taifa lake na Rais wake.

Anawasemea raia wote wa Tanzania ambao ni mali yake yeye.
Yaani jamaa anazungumza kama mtoto wa chekechea..

Na ujinga wa watawala wa nchi chini ya CCM jinsi ulivyo, usishangae jamaa akapewa u - DC wa Wilaya ya Ubungo..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…