Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki, huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo.
Hebu jionee mwenyewe.
Hebu jionee mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko upande huu wa nyama choma nimeshika ugoko wa mbuzi, karibuNipo nakula vitu vitam hapaaa na muziki wa rhumba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asanteee sanaaaa mimi nipo hapa Karibu na high table nakula kilaji na bia namuonaniko upande huu wa nyama choma nimeshika ugoko wa mbuzi , karibu
Mimi npo upande kushoto karibu na gari la M4C nimevaa jezi ya juveAsanteee sanaaaa mimi nipo hapa Karibu na high table nakula kilaji na bia namuona
Mwenyekiti wangu wa mkoa anacheza balaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuMimi npo upande kushoto karibu na gari la M4C nimevaa jezi ya juve
Huu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki , huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo .
Hebu jionee mwenyewe
View attachment 1813631
Ukumbi huu hauruhusu wavuta bangiVipi Lijuakali amerudi tena Chadema? Namuona anaselebuka humo!!!
Wewe unayo??.Write your reply...uhuni tu hapo, hakuna lolote, chama miaka zaidi ya 20 hakina hata ofisi
Jane Lowassa naona leo umekuja na ID yako.Write your reply...uhuni tu hapo, hakuna lolote, chama miaka zaidi ya 20 hakina hata ofisi
Chadema Inapata ruzuku mamilioni ya pesa, wanashindwa kujenga ofisi, mbowe ni fisadi
uongo utakusaidia nini ?Chadema Inapata ruzuku mamilioni ya pesa, wanashindwa kujenga ofisi, mbowe ni fisadi
Chadema Inapata ruzuku mamilioni ya pesa, wanashindwa kujenga ofisi, mbowe ni fisadi
Leta vielelezo,amefisadi Shilingi ngapi??Chadema Inapata ruzuku mamilioni ya pesa, wanashindwa kujenga ofisi, mbowe ni fisadi