Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kuna mdau wake wa karibu niko naye nitamchimba vizuri.weka akiba ya maneno mkuu utaniambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdau wake wa karibu niko naye nitamchimba vizuri.weka akiba ya maneno mkuu utaniambia
Halafu kajirekodi mwenyewe! Anahemaje? Kweli ushamba mzigo!Ndio maana hawa watu wanaojiita manabii na mitume huwa nawaasa sana watu kutowaamini.hatujui unabii na utume wao utokako! Tuwe makini sana hata kuwekewa mikono nao kwani sio kila mikono ina baraka za Mungu mingine ni yule aliye kinyume na Mungu..
MtafuteHana kibamia .yuko vizuri hata Mimi nimetamani
Natafuta upigwe bani tu unamsha mituringa huku makusudiIla anatoomba bna.nimetamani
fanya ivoKuna mdau wake wa karibu niko naye nitamchimba vizuri.
Kwaiy ndo anajitangaza nini pale ?Nasikia baba askof ana dudu kubwa ndo maana madem wanampenda
Ebu eleza kipi kimemkuta.nimecheki video yote full ni dakika tatu hadi tano i think ni aibu mno kila kitu open kwa maana ya open , mtumishi ameaibika dunia nzima manake mi niko ulaya mda huu!! sasa niliwaza mambo mawili 1. nasikia kuna video youtube huyu bwana aliwakashifu waislam na kuwakataza wazungu kupokea waarabu wakimbizi wanaokimbia kuuwawa kwao na wazungu eti walimsikia!! sasa laana ya masheikh waliomjibu tena wenye swaum kama unajipenda usiijaribu huo moto wake!!! 2. yasemekana kuna udaku kuwa alitembea na mke wa mtu ndoa ikavunjika hii inaitwa Karma!!! hii awamu hadi iishe kila mtu mwenye umaarufu na pesa asipodanja basi Mirembe sebuleni kwake!!
Ni aibu,ila jamaa anakata mauno acha kabisa. Jamani wanaume mjifunze kwa Gwajima.