Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Nchi yetu imekua ni maajabu tu kila siku hebu fikiria mtu kama gwajima na heshima zake anajirekodi picha za utupu videos za xx akifanya mapenzi na muumini wake hii si balaa jamani?

Nimeziangalia zile video zinasikitisha sana kuna nyingine kajirekodi pia akiwa kifua wazi hivi dunia inaelekea wapi jamani??

Yaani mpaka dk hii bado siamini huu uchafu katenda yeye dunia imeisha wana jf yaani mpaka gwajima?baada ya amber rutty,sasa ni gwajima omg!!!!!!
 
tunawambia kila siku,hawa watu ni wasanii,lakini mpaka leo licha ya vitimbi vya mzee upako watu bado wanamwita mchungaji,leo tena ngwajima nae katoa kali
 
Sidhani kama ni kweli, itakuwa anachafuliwa, labda ile ya kifua wazi. Lakini tujifunze jambo moja, si vizuri kushiriki kumchafua mtumishi wa Mungu, tusisahau ana watu wengi waliomuamini Kristo kupitia yeye. Mimi ni Mkatoliki lakini natambua nafasi ya mtumishi yeyote wa Mungu hata kama si dhehebu langu. Tukumbuke habari za Nuhu kwenye mwanzo 9: 20-23 jinsi alivyolewa hadi kubakia uchi, mtoto wake wa kwanza alivyomuona akaenda kuwaambia wenzake na mmoja wao ndio akaenda kumfunika. Yule mtoto aliyeshindwa kumsitiri baba yake alilaaniwa! ( hapo kwa dunia ya sasa tungemuona huyo mzee mdhambi kwa kunywa pombe! lakini maandiko yanaonesha laana ilikokwenda). Usishiriki kumchafua mchungaji Gwajima maana haitokuongezea au kupunguza kitu. Heshimu utu wake.
 
Nchi yetu imekua ni maajabu tu kila siku hebu fikiria mtu kama gwajima na heshima zake anajirekodi picha za utupu videos za xx akifanya mapenzi na muumini wake hii si balaa jamani?

Nimeziangalia zile video zinasikitisha sana kuna nyingine kajirekodi pia akiwa kifua wazi hivi dunia inaelekea wapi jamani??

Yaani mpaka dk hii bado siamini huu uchafu katenda yeye dunia imeisha wana jf yaani mpaka gwajima?baada ya amber rutty,sasa ni gwajima omg!!!!!!
Bashite umeibuka kivingine, subiri makombora ya bro Gwaji!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom