Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Mkuu acha kumtetea video kajipiga mwenyewe. Google video ya gwajima utaiona
Sidhani kama ni kweli, itakuwa anachafuliwa, labda ile ya kifua wazi. Lakini tujifunze jambo moja, si vizuri kushiriki kumchafua mtumishi wa Mungu, tusisahau ana watu wengi waliomuamini Kristo kupitia yeye. Mimi ni Mkatoliki lakini natambua nafasi ya mtumishi yeyote wa Mungu hata kama si dhehebu langu. Tukumbuke habari za Nuhu kwenye mwanzo 9: 20-23 jinsi alivyolewa hadi kubakia uchi, mtoto wake wa kwanza alivyomuona akaenda kuwaambia wenzake na mmoja wao ndio akaenda kumfunika. Yule mtoto aliyeshindwa kumsitiri baba yake alilaaniwa! ( hapo kwa dunia ya sasa tungemuona huyo mzee mdhambi kwa kunywa pombe! lakini maandiko yanaonesha laana ilikokwenda). Usishiriki kumchafua mchungaji Gwajima maana haitokuongezea au kupunguza kitu. Heshimu utu wake.
 
Nchi yetu imekua ni maajabu tu kila siku hebu fikiria mtu kama gwajima na heshima zake anajirekodi picha za utupu videos za xx akifanya mapenzi na muumini wake hii si balaa jamani?

Nimeziangalia zile video zinasikitisha sana kuna nyingine kajirekodi pia akiwa kifua wazi hivi dunia inaelekea wapi jamani??

Yaani mpaka dk hii bado siamini huu uchafu katenda yeye dunia imeisha wana jf yaani mpaka gwajima?baada ya amber rutty,sasa ni gwajima omg!!!!!!
Mkuu pole sana kama ulikuwa unaamini watu wa aina ya Gwajima. Hawa ni wapiga fedha za mazoba tu. Hana na hajawahi kuwa na heshima hata siku moja.
 
QUOTE="MTAZAMO, post: 31366623, member: 37003"]
Sidhani kama ni kweli, itakuwa anachafuliwa, labda ile ya kifua wazi. Lakini tujifunze jambo moja, si vizuri kushiriki kumchafua mtumishi wa Mungu, tusisahau ana watu wengi waliomuamini Kristo kupitia yeye. Mimi ni Mkatoliki lakini natambua nafasi ya mtumishi yeyote wa Mungu hata kama si dhehebu langu. Tukumbuke habari za Nuhu kwenye mwanzo 9: 20-23 jinsi alivyolewa hadi kubakia uchi, mtoto wake wa kwanza alivyomuona akaenda kuwaambia wenzake na mmoja wao ndio akaenda kumfunika. Yule mtoto aliyeshindwa kumsitiri baba yake alilaaniwa! ( hapo kwa dunia ya sasa tungemuona huyo mzee mdhambi kwa kunywa pombe! lakini maandiko yanaonesha laana ilikokwenda). Usishiriki kumchafua mchungaji Gwajima maana haitokuongezea au kupunguza kitu. Heshimu utu wake.
[/QUOTE]
Nani ameshiriki kumchafua? Kajichafua mwenyewe Acha uzwazwa!
 
QUOTE="MTAZAMO, post: 31366623, member: 37003"]
Sidhani kama ni kweli, itakuwa anachafuliwa, labda ile ya kifua wazi. Lakini tujifunze jambo moja, si vizuri kushiriki kumchafua mtumishi wa Mungu, tusisahau ana watu wengi waliomuamini Kristo kupitia yeye. Mimi ni Mkatoliki lakini natambua nafasi ya mtumishi yeyote wa Mungu hata kama si dhehebu langu. Tukumbuke habari za Nuhu kwenye mwanzo 9: 20-23 jinsi alivyolewa hadi kubakia uchi, mtoto wake wa kwanza alivyomuona akaenda kuwaambia wenzake na mmoja wao ndio akaenda kumfunika. Yule mtoto aliyeshindwa kumsitiri baba yake alilaaniwa! ( hapo kwa dunia ya sasa tungemuona huyo mzee mdhambi kwa kunywa pombe! lakini maandiko yanaonesha laana ilikokwenda). Usishiriki kumchafua mchungaji Gwajima maana haitokuongezea au kupunguza kitu. Heshimu utu wake.
Nani ameshiriki kumchafua? Kajichafua mwenyewe Acha uzwazwa!
[/QUOTE]
MKUU MIMI VIDEO NINAYO ANASOKOTA KABISA NA ANAREKEBISHA CAMERA VIZURI AONEKANE,TENA VIDEO NDEFU HADI ANAKOJOA,SASA WEWE UNABISHA NINI,TUWEKANE PESA HAPA NIKUTUMIE?
 
Naamini katika uongozi makini wa jamii forum chini ya Max..hawaabudu uchafu kama huu na hawana negative minds kama zako ndio mana nyuzi za aina yako zinaondolewa ..nashangaa hii imebaki ..unawaza uchafu unajiita star..star umeingiza shilingi ngapi kwa kupost huu upupu
 
Nani ameshiriki kumchafua? Kajichafua mwenyewe Acha uzwazwa!
MKUU MIMI VIDEO NINAYO ANASOKOTA KABISA NA ANAREKEBISHA CAMERA VIZURI AONEKANE,TENA VIDEO NDEFU HADI ANAKOJOA,SASA WEWE UNABISHA NINI,TUWEKANE PESA HAPA NIKUTUMIE?
[/QUOTE]
Nije pm nikupe WhatsApp no. unirushie?
 
Seriously jamii forum management mtu kama huyu mkimfungia maisha kwa kueneza habari za uongo na upotoshaji mkubwa haswa wakati huu ukizingatia tuko kwenye msiba mkubwa wa kitaifa ..mtapoteza nini kwa mfano
Au wewe ndo gwajima mwenyewe. Anaeneza habari za uongo na wakati baba mtumishi anakata viuno na kuwaliza watoto wa watu huko.
Afu usikute wewe ndo mfuasi wake. Pamoja na mavideo yake ya uchafu. Utaenda tena kanisani.
Nonsense [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Tatizo kajichafua mwenyewe [emoji23][emoji23]
Sidhani kama ni kweli, itakuwa anachafuliwa, labda ile ya kifua wazi. Lakini tujifunze jambo moja, si vizuri kushiriki kumchafua mtumishi wa Mungu, tusisahau ana watu wengi waliomuamini Kristo kupitia yeye. Mimi ni Mkatoliki lakini natambua nafasi ya mtumishi yeyote wa Mungu hata kama si dhehebu langu. Tukumbuke habari za Nuhu kwenye mwanzo 9: 20-23 jinsi alivyolewa hadi kubakia uchi, mtoto wake wa kwanza alivyomuona akaenda kuwaambia wenzake na mmoja wao ndio akaenda kumfunika. Yule mtoto aliyeshindwa kumsitiri baba yake alilaaniwa! ( hapo kwa dunia ya sasa tungemuona huyo mzee mdhambi kwa kunywa pombe! lakini maandiko yanaonesha laana ilikokwenda). Usishiriki kumchafua mchungaji Gwajima maana haitokuongezea au kupunguza kitu. Heshimu utu wake.
 
Viewers wanongezeka kwa kasi ya ajabu,ingekuwa kama inalipa kama utube mleta thread ungetajirika...
 
MKUU MIMI VIDEO NINAYO ANASOKOTA KABISA NA ANAREKEBISHA CAMERA VIZURI AONEKANE,TENA VIDEO NDEFU HADI ANAKOJOA,SASA WEWE UNABISHA NINI,TUWEKANE PESA HAPA NIKUTUMIE?

Una uhakika ni yeye?
[/QUOTE]
Mkuu sura ya mtu kama Gwajima inajificha? Hata kama clip ni ya kufoji ni rahisi sana kujua.
 
Video ipo live Mimi mwenyewe sikuamini nashangaa imekuwaje tena tena video ya dakika 1 na masekunde dah

tupe link tuamini au nipm video nione ndo niamini maana inayosambaa ni ile akiwa kifua wazi pekeyake, tena inasekunde 6 hivi kama sikosei.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom