Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Ndo.ujue baadhi ya watanzania walivyo wapumbavu ..maripoti yanakuja mnaibiwa mabilioni ..tuko kwenye msiba, ndugu mmoja huko ametekwa..badala tuhoji vitu vya msingi tunahoji upumbavu na zaidi baadhi ya mamburula yanapelekeshwa tu
Sasa hizo billion hata ukipiga kelele ndio utazirudisha, zaidi utatiwa ulemavu wa maisha uwatese ndugu zako kwa kujitia ujuaji
 
Sio ajabu sema mchungaji kula kondoo na video jamani ni aibu
Kondoo kama yule kwa jinsi alivyo mrembo mi sina la kumlaumu gwajima. Mtoto white Maria flani!!! Natafuna bila hiyana
 
Mdude the great nikututoa kwenye mjadala

Ataibuka kwajima na facts watu wataumbuka, let's wait...... a matter of time
Hichi kitu hata mimi nahisi hivyo,kuna watu wanachezesha akili za watanzania aisee.na jamaa washajua akili za watu wao ni kuzivuruga tu na vijimambo mambo.
 
Hazirudishiki na hata mimi siku naziiba sirudishi ila ntamheshimu yule anayezihoji kwa kutumia hoja
Na sio kukaa online kudiscuss video za utupu
Bladsht
Sasa hizo billion hata ukipiga kelele ndio utazirudisha, zaidi utatiwa ulemavu wa maisha uwatese ndugu zako kwa kujitia ujuaji
 
Kasauti ka wizi tuu. Utakuta hata mshedede ulikua haujasimama
😂😂😂 kwamba askofu alikuwa anapaka rangi upepo tu, style pendwa ile hata uwe mbishi kiasi gani lazma ulilie ukuni
 
Hazirudishiki na hata mimi siku naziiba sirudishi ila ntamheshimu yule anayezihoji kwa kutumia hoja
Na sio kukaa online kudiscuss video za utupu
Bladsht
Sasa kipi nafuu mkuu, relaxing ama marungu?
 
Sasa hizo video ziko wapi wee unaweka picha unatusaidia nini
Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.

Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.

Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.


Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .

Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460
 
Katika jambo lililonishangaza na kustaajabisha ni kuhusu askofu gwajima

Kwangu ni:-
Mchungaji
Mwinjilisti
Askofu
Mlezi wa kiroho
Baba mtakatifu
Nabii
Yaani unapaswa uwe kioo cha jamii na mchunga kondoo mwema wa bwana...

Yesu wangu....sijawahi kuchanganyikiwa kiasi hiki kuhusu huyu gwajima!!!!ni leo

Umelidhalilisha kanisa
Jitafakari
Umedhalilisha walokole jitafakari

Umedhalilisha waumini wako
Umedhalilisha neno la mungu

Umedhalilisha kanisa

Wewe ni muhubiri wa kimataifa unayeaminiwa sana mpaka marekani utaweka wapi sura yako?


Jitafakari na ujiuzulu oooh lord nini hiki mchungaji????

Kristo wa nazareth am dying!!!mchungaji na video za utupu...dunia imeisha
"Baba Mtakatifu" yupi afufuaye wafu uchwara nakati hata Babu na Bibi Zake kashindwa kuwafufua[emoji57][emoji848]
 
Kama ni yeye amejirecord wanawarudisha nyuma sana watu kiimani. Ni ngumu sana kwa nyakati kumjua yupi ni mkweli ktk hawa wachungaji. Muumini imani yako tu ndio itakufikisha mwisho wa safari
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom