Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
"Mpaka kufika Jumatatu nitakuwa nimemshtaki Mahakamani ndugu Albert Chalamila kwa kosa la kuhamasisha mauaji (Extra-Judicial Killings). Jinai huwa haina cheo." - Peter Madeleka
Pia soma: Kwahiyo hapa RC Chalamila alihalalisha watu kuua tena, aagiza Polisi wafanye hilo waziwazi
Pia soma: Kwahiyo hapa RC Chalamila alihalalisha watu kuua tena, aagiza Polisi wafanye hilo waziwazi