VIDEO: CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina

VIDEO: CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.

CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina katika kambi ya Sde Teiman katika jangwa la Naqab, ambapo Israel inatekeleza uhalifu mkubwa dhidi ya wafungwa wa Kipalestina waliotekwa nyara kutoka Gaza.

Wafuasi wa Israel walikuwa wanasema Al Jazeera wanapotosha habari za Gaza, CNN naona wamechoka kuficha habari wameahamua kuonyesha unyama wa Israel dhidi ya Wapelestina, juzi waandishi wa CNN walizuuliwa kuingia Rafah, yote hayo Israel hawakutaka vyombo vya habari vione ugaidi wao.

 
Ngoja tuwasubiri Wayahudi weusi kutoka Ushirombo, Ngudu, Kibosho, Uyole, Simiyu, Buzebazeba, Manyoni, Tinde, Bonyokwa na maeneo mengine waje wapingane na CNN maana walisema Al Jazeera ni Magaidi.
 
Mbona sijaona wakiteswa zaidi ya maelezo ya waliteswa....wale wa URUSI ndio tuliona walivyochezea kichapo....
Mtu ukiambiwa ulete ugaudi urusi unaanza kulia kwa namna utakavyopigika, sio hao ISRAEL na USA mara human right kwa magaidi ujinga mtupu
 
ka
Wanakumbi.

CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina katika kambi ya Sde Teiman katika jangwa la Naqab, ambapo Israel inatekeleza uhalifu mkubwa dhidi ya wafungwa wa Kipalestina waliotekwa nyara kutoka Gaza.

Wafuasi wa Israel walikuwa wanasema Al Jazeera wanapotosha habari za Gaza, CNN naona wamechoka kuficha habari wameahamua kuonyesha unyama wa Israel dhidi ya Wapelestina, juzi waandishi wa CNN walizuuliwa kuingia Rafah, yote hayo Israel hawakutaka vyombo vya habari vione ugaidi wao.

View attachment 2987930
kama walimuua Mollel bas wateswe sana
 
Back
Top Bottom