Biashara ikiishakuwa na jina la au umiliki wa mtu mmoja haijalishi karithishwa ama laa, hio sio family business tena.Ndio hasa kama hizo pesa ama biashara nayofanya nimerithishwa .
Bilionea msuya alifundishwa biashara ya madini na baba yake na kisha alipewa mgodi na baba yake. Hakuuanzi sha yeye. Ni family business kama Mo Dewji vile
Familia ya mkewe ni wataalam wa anga za juu..mama mkwe ni fundi kabisa huko usangiWapare wameshindwa kwenda kuimaliza kesi milimani,,, au wamekutana wote konki
Basi ndo maana mambo yameishia mahakamani ,,,maana nawajua watu wa pande za hukoFamilia ya mkewe ni wataalam wa anga za juu..mama mkwe ni fundi kabisa huko usangi
Mi nilivyoconclude, hawa wote ni mamafia... mawifi walikuwa wanamzingua huyo maza (SMS za yule binti kwa huyu mama).. kumbe maza na yeye ni kichaa... akawajibu kimafia zaidi..Kweli RUSHWA ipo mahakamani jaman. Mimi nimesikitika kuona huyu mama kaachiwa huru. Najua sheria haina macho lakini kwa hili hapana. Huyo mama ni mafia kweli. Enyi majaji kifo kitawanyoosha.
Mkuu fikiria we ndo Jaji wa hii kesi ukapenyezewa Bil 1 chini ya mezaJaji wa hii kesi anaonekana kama msaliti.
Kesi ngumu sana hii
Mim mtu aguse watoto wangu siwezi subiri mahakama tupoteze wote tuKumbe we gaidi
So sad😓😓😓😓😓😓Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Pia soma:
- Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
- Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake
Huyo marehemu hana watoto?Dada wa bilionea msuya analia sababu ya hela za ukoo wao.
Hela zao wenyewe ndio zinatumika kuwatoa machozi mahakamani. Wifi anawanyoosha
Huyo marehemu hana watoto?
Ndugu umeisoma kesi na sababu za jaji kuwaachia huru?Ulikuwepo akifanya tukio ?
Hapo ni chuma kwa chuma, kuna jamaa aliingia anga zangu kwenda kwa fundi akaniambia jamaa yupo vizuri. Tumsomee gape akijisahau. Ndo nasikilizia baada ya miaka mitano hivi niruke nae.Wapare wameshindwa kwenda kuimaliza kesi milimani,,, au wamekutana wote konki
Naona kisasi kikilipizwa dhahiri!!Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Pia soma:
- Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
- Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake
Wewe ndiyo umeona sawa sawaHii hukumu itakwenda kusababisha mauaji mengine huko tuendako.
Tatizo kubwa siyo pesa tatizo ni mauaji yaliyo tokeaWewe ukiwa na pesa. Zinakuwa pesa za ukoo?
Mbona wanaweza guswa na usifanye kitu?Mim mtu aguse watoto wangu siwezi subiri mahakama tupoteze wote tu
Wanadai marehemu billionaire Msuya alikuwa anampelekeaga moto mdogo wake aliyechinjwa marehemu Aneth.Pesa ya Damu,Pesa alizoacha Msuya hazikuwa baraka bali zimegeuka laana.Yeye mwenyewe zilimuua,dada yake nae amechinjwa,familia yake(mke na watoto) ni kama watatengwa na ukoo sababu kila mmoja atavuta upande wake,watoto watamtetea mama na wazazi wanamaumivu ya Aneth.Hizi pesa za Msuya alizipata kwa haki?na je hakuwahi kudhulumu/kuua mwingine?kwa nini hizi pesa zimekuwa na mkosi kiasi hiki?Mwisho wa siku hakuna anayejua ,Hakimu wa kweli ni Mungu peke yake.