Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

Aliyekua na Cash alishafariki, Cash imebaki kwa Mkewe ambaye alikua Mshtakiwa....!

Ndugu wa Marehemu Msuya hawana Pesa...!

Kuna familia unakuta Mzazi anawekeza kwa mtoto wake kama Marehemu Msuya, na ndugu wengine wanaomfatia wakakosa msaada sawa, kwa kigezo kwamba Kaka mkubwa akisaidika, atasaidia Wadogo zake, mwisho siku kinatokea kama kilichotokea....!!!

Mbaya zaidi mpaka Dada wa Kaka Mkubwa wa familia anapoteza Maisha kisa ni mdogo wa kike wa Kaka mkubwa Tajiri...!

Kaka mkubwa. Kaacha ukwasi kwa mke.... Maumivu yanakua mara 2 kwa familia ta Msuya.
Hapa kinachofata ni kisasi labda wamwachie Mungu
 
Vitu vingine sio vya kumuachia Mungu
Kama kweli wachinje huyo mama na wao upande wa mke wakose Yaan wao wanakaa miaka na miaka kusubiria hukum Tz???
Hapo ilitakiwa ni kushika huyu unaua
Kawasaidie kufanya hivyo
 
Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.

Pia soma:


Analia kwa sababu haki ya mdogo wake haijapatikana...

Ukifuatilia hiyo kesi, ndio kuna ushahidi na vielelezo vingi tu vilipelekwa mahakamani...

Shida ni kwamba, ushahidi ulikuwa unashindwa kumlink pasipo kuacha shaka na huyo mjane wa Erasto Msuya...

Kesi za mauaji sio kama za kuiba kuku, ni ngumu sana hata kwa nchi zilizoendelea ambazo wana mbinu nyingi za kukusanya ushahidi usio na shaka...
 
Aliyekua na Cash alishafariki, Cash imebaki kwa Mkewe ambaye alikua Mshtakiwa....!

Ndugu wa Marehemu Msuya hawana Pesa...!

Kuna familia unakuta Mzazi anawekeza kwa mtoto wake kama Marehemu Msuya, na ndugu wengine wanaomfatia wakakosa msaada sawa, kwa kigezo kwamba Kaka mkubwa akisaidika, atasaidia Wadogo zake, mwisho siku kinatokea kama kilichotokea....!!!

Mbaya zaidi mpaka Dada wa Kaka Mkubwa wa familia anapoteza Maisha kisa ni mdogo wa kike wa Kaka mkubwa Tajiri...!

Kaka mkubwa. Kaacha ukwasi kwa mke.... Maumivu yanakua mara 2 kwa familia ta Msuya.

Familia ya Msuya ina mawe, Erasto alirithishwa mashimo Mbuguni na wazazi wake...

Sema Erasto yeye alifanikiwa zaidi ya ambavyo wazazi wake walifanikiwa...
 
Muda mwingine tunaweza kulaumu na kukosoa sana ila Hiyo inaweza ikawa ni Karma kwa upande wa Familia ya Bilionea Msuya.....maana hatujui aliishi maisha ya namna gani aliumiza wangapi ? na hatujui pia alitenda wema kwa wangapi ?

Mfano, siku za mbeleni familia ya Mtu kama Mr Tall ( Rais wa nchi fulani ya kusadikika) ukiona watoto wake wanapitia Dhuluma au kunyanyasika yamkini kama hujui historia ya familia yao na matendo waliyoyatenda kwa wengne,

unaweza kudhani wanaonewa ila ukipitia Historia ya unyama uliofanywa na Labda Mzazi/wazazi wao unaweza kuhisi ni haki yao nao kupitia Matatizo kama walivyo wasababishia wengine.

Hitimisho : Kama familia imeonewa basi Karma inaweza ikaja kumludia huyo Mke wa Msuya mbeleni.
Ukisikia story kuhusu huyo jamaa... kama ni za kweli basi alikua na maadui kibao na ilikuwa lazima aishie kama alivyoishia..
 
Uchawi haupo ni stori tu ambazo hata wazungu walikuwa nazo zama za middle age.

Kama uchawi ungekuwepo na una nguvu. Waafrica tusingeteseka kuomba viza za kwenda majuu, tungekuwa tunaenda marekani na Ungo na kuhamia huko
Uchawi hauvuki bahari wewe jamaa.....bado usingeweza kwenda
 
Uchawi haupo ni stori tu ambazo hata wazungu walikuwa nazo zama za middle age.

Kama uchawi ungekuwepo na una nguvu. Waafrica tusingeteseka kuomba viza za kwenda majuu, tungekuwa tunaenda marekani na Ungo na kuhamia huko
Bado haujarogwa
 
Hayo ndio matokeo ya ndoa za mume kutoka ukoo tajiri kuoa mke kutoka ukoo maskini.

Mali zinahamishwa kinguvu kutoka kwenye ukoo kwa mauaji ya kutisha.

Maskini hawanaga utu.

Wahindi na waarabu wanayajua haya vizuri sana. Ndio maana hawaoi hovyo hovyo

Imagine LuLu alifungwa jela kwenye kesi ya Kanumba kwa ushahidi wa mazingira. Hakuna aliyemuona lulu akiua. Wala hakukiri kama amemuua kanumba. Ila huyu mama msuya anaambiwa hajaua hakuna aliyemuona akiua
Ndio hivyo mkuu
 
Jela zimejengwa kwa ajili ya sisi kajamba nani na sio kwa wenye nazo..........

Magereza yote yamejaa wanyonge tu hali ya kuwa maboss wana makesi makubwa na wanashinda..........

Hata wakiua wanaambiwa hawakusudia.......ukikomaa utaambiwa wewe ndio umemchokoza tajiri......
Fact. Ni kwa hapa tu
 
Aliyesimamia kesi ni Kibatala. Ni huyuhuyu ambaye anawakimbiza serikali kesi ya akina Mdee. Sasa tuiamini mahakama, wakili, au dada wa marehemu?
 
Back
Top Bottom