Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

Video: Dada wa Bilionea Msuya aangua kilio Mahakamani baada ya Mke wa Msuya kuachiwa huru

Kama unaamini hakuna uchawi, mambo ni sayansi mbona unalilia yanga icheze juani? Huamini sayansi ya mpira?

Yaelekea biology ulipata F na hujui chochote kuhusu sayansi ya mwili wa binadamu.

Ndio maana hata Hujui kucheza mpira kwenye jua kunasababisha Heat Exhaustion kwa wachezaji wanaocheza muda huo

Mfano Ukiambiwa ukimbie kwenye jua vs ukimbie jua limezama.. wapi utachoka haraka?

Science yenyewe inasema heat exhaustion symptoms include feeling of fatigue and a high body temperature. Further symptoms are feeling weak,dizzy etc

Vilaza na matapeli ndio mnapenda sana imani za ushirikina na kuongelea uchawi uchawi
 
Kwenye court of public..ni feelings over facts
Uko sahihi kabisa ndugu yangu. Mahakama zetu za mitaani zinaendshwa na kuhumu kwa hisia badala ushahidi usioacha shaka. Kwenye kesi kubwa kama ya mauaji mahakama inatakiwa iangalie na kuchakata ushahidi kwa kina na siyo vinginevyo. Hizi sheria zilitungwa baada ya uzoefu wa muda mrefu.
 
ZIPO KESI AMBAZO HUKUMU ZAKE HUITAJI HEKIMA ZA MFANANO WA MFALME SOLOMON, HATA KAMA KAMA UNATAKA KUFANYA LIQUIDIFICATION, LAKINI UNATAZAMA PANDE ZOTE, KWA SABABU SHIDA ILIYO KUBWA HUWA NI "" MALI "" NA NDIYO HUWA CHANZO CHA UKATILI MKUBWA, UWIANO UTENGENEZWE, POSIBLY UPANDE WA DADA NA NDUGUZE WAKABAKI WEUPE PYE, HAPA NDIPO HEKIMA ITUMIKE, TUNAOA WAKE, LAKINI SOMETIMES HUJITAKIA VIFO SISI WENYEWE.
#To be noted!

View: https://youtu.be/3N2zkWPTrFI?feature=shared

Hii case kuna haja ya kutazama mambo kwa upana sana na tusiruhusi hisia pekee kuamua.Kuna mengi nyuma ya pazia yanaendelea.
 
Swali, maana umesema umeifuatilia hiyo kesi toka mwanzo:

Hakukuwa na ushahidi wowote wa DNA?

Maana kama mhanga alichinjwa, naamini aliupigania uhai wake kwa kadri alivyoweza, iwe kuwa kung’ata, kuparua kwa kucha, kuvuta nywele, na kadhalika.

Hakuna ushahidi wowote wa DNA ya mtu mwingine zaidi ya DNA yake yeye mhanga uliowasilishwa wakati kesi ikiendelea?

Kwa uzoefu wangu, kesi kama hizo huwa zinaacha trail ya forensic evidence ambayo hutumika kujenga kesi dhidi ya mtuhumiwa/ watuhumiwa.
Tatizo lipo kwa wapelelezi, wengi wao hawana weledi wa kazi wana unga unga tu refer kesi ya Mbowe unakuta askari mwenye cheo kikubwa mpelelezi anatoa ushahidi unabaki kushangaa hivi Hawa huko vyuoni Huwa wanasomea kitu Gani kama mkubwa wao kichwani mweupe hivi hao askari wa ngazi ya chini uwezo wao utakuwaje?
 
Binadamu tuna tabia ya kuhukumu watu hata tusipojua kisa. Shida watu wanataka hukumu itoke kulingana na hisia zao. Hizo ni professions za watu, kama unataka ukawe mtoa haki mahakamani, nenda kasomee hilo.
 
Zote ni kesi. Haki inatakiwa kutendeka kote kote.
Basi hata na hii tuseme mahakama imetenda haki...nyie mlikuwepo wakati anaua? [emoji28]
Watanzania na mihemko ndo maana sukari inauzwa bei kubwa
 
Back
Top Bottom