stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Acha kelele kesi IPO wazi vielelezo vyote vipo imepindishwapindishwa naona hujawahi kufanya kazi MahakamaniUlikuwepo akifanya tukio ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kelele kesi IPO wazi vielelezo vyote vipo imepindishwapindishwa naona hujawahi kufanya kazi MahakamaniUlikuwepo akifanya tukio ?
This is Deep🙂🙃🙂Mahakama ni dude!
Hili dubuana ni Giza na Nuru kwa wakati ule ule....inategemea umesimama upande gani.
Mzani hauna udude mzani ni mzani tu, ukimweka Jiwe kilo 2 weka unga kilo 2 sio unaweka Jiwe kilo 2 unaweka unga kilo 1 mzani lazima uchezeThis is Deep🙂🙃🙂
Sasa kinachokufanya ucheke hapo ni nini wewe mdini, mkanda na mkabila?😡😡😡😡
Mnakumbuka Ukiwaona Ditopile alivyoua kwa kukusaidia mbele ya watu lakini akakutwa Hana hatia mpaka Mungu akaingilia Kati.Jela zimejengwa kwa ajili ya sisi kajamba nani na sio kwa wenye nazo..........
Magereza yote yamejaa wanyonge tu hali ya kuwa maboss wana makesi makubwa na wanashinda..........
Hata wakiua wanaambiwa hawakusudia.......ukikomaa utaambiwa wewe ndio umemchokoza tajiri......
Kafie mbele huko ,ulitakaje?Sasa kinachokufanya ucheke hapo ni nini wewe mdini, mkanda na mkabila?😡😡😡😡
Upo sahihiHayo ndio matokeo ya ndoa za mume kutoka ukoo tajiri kuoa mke kutoka ukoo maskini.
Mali zinahamishwa kinguvu kutoka kwenye ukoo kwa mauaji ya kutisha.
Maskini hawanaga utu.
Wahindi na waarabu wanayajua haya vizuri sana. Ndio maana hawaoi hovyo hovyo
Imagine LuLu alifungwa jela kwenye kesi ya Kanumba kwa ushahidi wa mazingira. Hakuna aliyemuona lulu akiua. Wala hakukiri kama amemuua kanumba. Ila huyu mama msuya anaambiwa hajaua hakuna aliyemuona akiua
Hamkumwelewa Makonda? Huna pesa Wala connection ya Kisiasa unaenda Mahakamani kufanya nini?Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Pia soma:
- Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
- Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake
Davis mosha amekufa lini tena mbona sijamuona huku kuzimuMnakumbuka Ukiwaona Ditopile alivyoua kwa kukusaidia mbele ya watu lakini akakutwa Hana hatia mpaka Mungu akaingilia Kati.
Davis Mosha na mkewe, mke amejikuta Hana mgao.
Naimani kuna baadhi ya watu wanaona hata aibu kujitambulisha kama wao ni wafanyakazi wa mahakama Tanzania.Inasikitisha sana