physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Huu ni uchawi au ni vipi,fafanua.Hawa wanaenda kumalizana mtaani tusubiri, itatafutwa tu Dawa ya kuua moyo Figo na kongosho MTU anaenda kutumbukiziwa itamla taratibu hadi anakata upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uchawi au ni vipi,fafanua.Hawa wanaenda kumalizana mtaani tusubiri, itatafutwa tu Dawa ya kuua moyo Figo na kongosho MTU anaenda kutumbukiziwa itamla taratibu hadi anakata upepo
Swali, maana umesema umeifuatilia hiyo kesi toka mwanzo:Kwa ambao tumekuwa tukifuatilia hii kesi from day one lazima tushtuke sana 😭😭😭Sasa nani alimuua Anathe jamani ?? Kwamba hao wameachiwa je muuaji kapatikana???
Ukweli wanaujua wao na Mungu anaona kama ni kweli ila damu ya mtu haipotei! Daah
Mahakamani hakuna haki watafuteni viongozi wa Serekali wawasaidie...Huu ni uchawi au ni vipi,fafanua.
Kuna Ingeneer tumemzika jana kwa tatizo la moyo la wiki tatu tu.Hawa wanaenda kumalizana mtaani tusubiri, itatafutwa tu Dawa ya kuua moyo Figo na kongosho MTU anaenda kutumbukiziwa itamla taratibu hadi anakata upepo
Mahakama imeshindwa kuamua basi wanaenda kuamua wenyewe kwamba wanazika au wanasafirisha,Kuna Ingeneer tumemzika jana kwa tatizo la moyo la wiki tatu tu.
hii dunia ina mambo.
Kwa hiyo kinachowauma sio ndugu yao kuchinjwa bali helaDada wa bilionea msuya analia sababu ya hela za ukoo wao.
Hela zao wenyewe ndio zinatumika kuwatoa machozi mahakamani. Wifi anawanyoosha
Kwa hiyo kinachowauma sio ndugu yao kuchinjwa bali hela
Akate rufaa Kwa mueneziNdugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Pia soma:
- Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
- Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake
Kama unaamini hakuna uchawi, mambo ni sayansi mbona unalilia yanga icheze juani? Huamini sayansi ya mpira?Uchawi haupo ni stori tu ambazo hata wazungu walikuwa nazo zama za middle age.
Kama uchawi ungekuwepo na una nguvu. Waafrica tusingeteseka kuomba viza za kwenda majuu, tungekuwa tunaenda marekani na Ungo na kuhamia huko
Kwenye court of public..ni feelings over factsSwali, maana umesema umeifuatilia hiyo kesi toka mwanzo:
Hakukuwa na ushahidi wowote wa DNA?
Maana kama mhanga alichinjwa, naamini aliupigania uhai wake kwa kadri alivyoweza, iwe kuwa kung’ata, kuparua kwa kucha, kuvuta nywele, na kadhalika.
Hakuna ushahidi wowote wa DNA ya mtu mwingine zaidi ya DNA yake yeye mhanga uliowasilishwa wakati kesi ikiendelea?
Kwa uzoefu wangu, kesi kama hizo huwa zinaacha trail ya forensic evidence ambayo hutumika kujenga kesi dhidi ya mtuhumiwa/ watuhumiwa.
Maneno ya wazi kivipi. Sheria siyo kila mtu anaweza kuitafsiri wapo waliosomea wanajuaJaji hana kosa!
Jaji anaweza kupindisha maneno ya wazi namna hiyo bila kubeba mrungula?
Nini inaumiza? Kesi za mauaji haziendelshwi kwa hisia wala huruma. Kuachiliwa kwake ni kwa sababu washtakiwa wameshindwa kuonyesha pasipo shaka kuwa alihusika. Kumbuka haya maneno: pasipo kuacha shaka! Watu wengi humu mtaani mnaendeshwa kwa hisia zaidi hivyo mlitaka hukumu itoke kwa hisia!Inaumiza sana