Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaHii hukumu itakwenda kusababisha mauaji mengine huko tuendako.
Hahah.. Hii nayo pointiWapare wameshindwa kwenda kuimaliza kesi milimani,,, au wamekutana wote konki
Wapare wameshindwa kwenda kuimaliza kesi milimani,,, au wamekutana wote konki
Sikatai yaan sipingiMaskini hawanaga utu.
Utajiri ,mali ukiupatia kumagumashiMuda mwingine tunaweza kulaumu na kukosoa sana ila Hiyo inaweza ikawa ni Karma kwa upande wa Familia ya Bilionea Msuya.....maana hatujui aliishi maisha ya namna gani aliumiza wangapi ? na hatujui pia alitenda wema kwa wangapi ?
Mfano, siku za mbeleni familia ya Mtu kama Mr Tall ( Rais wa nchi fulani ya kusadikika) ukiona watoto wake wanapitia Dhuluma au kunyanyasika yamkini kama hujui historia ya familia yao na matendo waliyoyatenda kwa wengne,
unaweza kudhani wanaonewa ila ukipitia Historia ya unyama uliofanywa na Labda Mzazi/wazazi wao unaweza kuhisi ni haki yao nao kupitia Matatizo kama walivyo wasababishia wengine.
Hitimisho : Kama familia imeonewa basi Karma inaweza ikaja kumludia huyo Mke wa Msuya mbeleni.
Kipi cha kuchekesha we kiazi? Au we ni mmoja ya walio upande wa muuaji?
Hawa wanaenda kumalizana mtaani tusubiri, itatafutwa tu Dawa ya kuua moyo Figo na kongosho MTU anaenda kutumbukiziwa itamla taratibu hadi anakata upepoNdugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Subiri wakauane vizuri Mahakama Si imeshindwa kuamua imechagua kuchukua Pesa,Inaumiza sana
Mbona kaachiwa sasa ,unaliaje mali sio zako?Kipi cha kuchekesha we kiazi? Au we ni mmoja ya walio upande wa muuaji?
Abeee.ma wifiii
Ile kesi ya Mosha ulisema mahakama imetenda haki😅😅. Au nasema uongo ndugu yangu?Subiri wakauane vizuri Mahakama Si imeshindwa kuamua imechagua kuchukua Pesa,
Ile sio ya mauaji Ile yule Mwanamke tapeli kashtukiwa, huyu we unasemaje huyu kaiibia Mahakama kabisa kweupe huyu hii kesi inamhusu huyu Mama mwizi wa haki Mahakama imekula Pesa ikamwachia aende haijatenda hakiIle kesi ya Mosha ulisema mahakama imetenda haki😅😅. Au nasema uongo ndugu yangu?
Wanachinjana kisa Mali za Marehemu, maisha sio kabisa naitafuta Ile video ya dogo wa chuga anakatazwa kuchumbia Mmachame mwenye nayo naomba anisogezeeMbona kaachiwa sasa ,unaliaje mali sio zako?
😀kila mtu na chanel yake na king'amuzi chakeUchawi haupo ni stori tu ambazo hata wazungu walikuwa nazo zama za middle age.
Kama uchawi ungekuwepo na una nguvu. Waafrica tusingeteseka kuomba viza za kwenda majuu, tungekuwa tunaenda marekani na Ungo na kuhamia huko