Video: Deontay Wilder Akisema Nilichosema Juu Ya Mike Tyson

Video: Deontay Wilder Akisema Nilichosema Juu Ya Mike Tyson

Boxing najua ila wewe hukunielewa.

Nilisema.

Boxer ambaye amempiga Tyson, mfano Evander.

Walivyorudiana Tyson alishinda?

Siyo kama hiyo mifano uliyotoa ambao hawakumpiga Tyson tangu fight one.


Wewe hujui kitu kumbe

Mpaka siku Tyson kapigwa mara tano Tu
Ikiwemo na evander mara mbili
Hapo alikuwa already keshaisha..
Wakati Tyson alipokuwa kwenye peak evander alikuwa cruiserweight huko.. anahangaika..
 
Boxing najua ila wewe hukunielewa.

Nilisema.

Boxer ambaye amempiga Tyson, mfano Evander.

Walivyorudiana Tyson alishinda?

Siyo kama hiyo mifano uliyotoa ambao hawakumpiga Tyson tangu fight one.
Baada ya kutoka jela Tyson alikuwa done
Ndo maana kina Holifield na kina Lennox wakala ujiko..

Alipokuwa peak hao kina Lenox hata no 2 walikuwa hawajafika..
Evander yuko cruiserweight..

Kwanza evander inasemekana alienda tumia
Madawa ku gain muscles hadi nusu afe na ugonjwa wa moyo..

Evander hata uzito wa heavy weight hakuwa nao akabakia cruiserweight kabla ya madawa
Ma steroids
 
Baba yake Tyson Fury ndiye alikuwa anachochea sana mwanaye apande ulingoni na Mike Tyson.

Kuna wakulungwa wametenga bilioni 46 za kumshawishi Mike arudi ulingoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila sheria yao mapambano yao hakuna kuvaa gloves.

Na uzee wake ule wanataka kutuulia mkongwe wetu.
 
Boxing najua ila wewe hukunielewa.

Nilisema.

Boxer ambaye amempiga Tyson, mfano Evander.

Walivyorudiana Tyson alishinda?

Siyo kama hiyo mifano uliyotoa ambao hawakumpiga Tyson tangu fight one.
Ah..we jamaa kigeugeu kishenzi!
 
Ni bondia aliyepigana uzito wa kati, alikuwa mvenezuela hatari sana. Wakati anafikisha mapambano 18 yote alikuwa ameshinda kwa Ko katika round ya kwanza,alikuwa na speed,power na passion ya boxing. Ila alikuwa na shida ya discpline sana, alikuwa mkorofi na mtukutu mno. Alimuua mkewe na baadaye kujisalimisha polisi ambapo baadae alijiua pia akiwa gerezani mwaka 2010 huku akiwa na record ya mapambano 27-0 na yote alishinda kwa Ko.
Huyu ni hatari. Kwa rekodi hiyo
 
Hiyooo Wilder kelelee tupuu, kakuta zama hizi uzito wa juu hakuna mabondia mafundi, woote walishastaaf kina Tyson Mike, Lenox lewis, Tuaman, Evender wangekuwepo wangemtia uchizi huyuu kama si kumuua.... Kelele nyingiii hamna loloteeeee
Wilder hana skills na techs tu lakini huwezi kusema ni kinabo. Hata Tyson Fury anasema ikatokea wanarudiana hatojisahau kwakua Wilder ni hatari.
 
Baada ya kutoka jela Tyson alikuwa done
Ndo maana kina Holifield na kina Lennox wakala ujiko..

Alipokuwa peak hao kina Lenox hata no 2 walikuwa hawajafika..
Evander yuko cruiserweight..

Kwanza evander inasemekana alienda tumia
Madawa ku gain muscles hadi nusu afe na ugonjwa wa moyo..

Evander hata uzito wa heavy weight hakuwa nao akabakia cruiserweight kabla ya madawa
Ma steroids
Steroids hata jeshini Marekani zilitumiwa. Namna pekee steroids hauruhusiwi kutumia ni kama sheria za nchi au za mchezo husika zinakataza.

Hivyo kama alitumia na hakutolewa kwenye boxing means siyo kosa.

Angalia picha za mwezi huu za Tyson, angalia kifua chake chuchu zinaangalia chini. Hizo huitwa b.tch tits ambazo huja kutokana na kutumia steroids
 
Zile knockout za ngumi jiwe tunazoona kabebwa ?hell no
Hahaha ndo ukweli huo. Kama unapinga kamjibu Deontay Wilder au kama unaona mbali nijibu mimi nilichouliza.
 
Huyu ni hatari. Kwa rekodi hiyo
Mcheki youtube alikuwa moto sana, walishaanza kupiga promo kumpambanisha na Pacquiao nadhani lingekuwa pambano la karne. Both boxers were at their prime, wote ni southpaw boxers wenye speed, power na fighting spirit.
 
Wilder hana skills na techs tu lakini huwezi kusema ni kinabo. Hata Tyson Fury anasema ikatokea wanarudiana hatojisahau kwakua Wilder ni hatari.
Na ndo maana nimesema kakuta zama hizi uzito wa juu hakuna mabondia mafundi, kakuta wenzie wasio na radha ya ngumi ndo maana anatamba...
au niseme angekuwa uzito wa kati huyuuu kwa uchezaji wake kina Canelo, el chino Maidana, Triple G, Cotto, Pacman wangemuua huyu mweusi mjivuniii anaetegemea mkono mmoja tuu
 
Mi naona ni charity event tu ambayo inataka kutuongezea ubishi. Kuna page moja inasema Tyson Fury kapelekewa ofa ya kuzipanga na Mike na amekubali

Mike tyson anatafuta kufa,,,tyson furry ni bondia mzuri sana na anajua kukwepa. Imagine mike tyson kwa umri wake wa kupigana asingekubali kukutana na furry. Nyie ongeeni yote ila kwa Furry mwacheni kabisa, jamaa anajua.
 
Back
Top Bottom