Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Hii imetokea huko Kenya dereva huyo alisimamishwa na trafiki ambaye alikuwa na ishu naye binafsi kuhusu maji kwenye nyumba wanayokaa, jamaa alikuwa amelewa akammgonga na kusepa
Dereva huyo alishatakiwa kisha akaachiwa na sasa hamna kilichofanyika na trafiki huyo analalamika kweli na sasa amehamishwa kituyo
Dereva huyo alishatakiwa kisha akaachiwa na sasa hamna kilichofanyika na trafiki huyo analalamika kweli na sasa amehamishwa kituyo