Video: Diamond ajirekodi video akiwa na Hamisa pamoja na Mzungu anayesemekana ni mpenzi wake mpya

Video: Diamond ajirekodi video akiwa na Hamisa pamoja na Mzungu anayesemekana ni mpenzi wake mpya

Hajijui maskini kuwa wazazi wakiumia kwa jambo laana huwatafuna mpaka wajukuu
Mbona mambo haya tunayashuhudia sana
Au jamaa hata vitabu hasomi?
 
Let me tell u japo sio shabiki wa mziki wao.
Ile ni kik ya kusaidia kuua skendo ya NANDY!!!Only BIGGER minds will understand this
 
Kwa maisha aliyopitia na hapo alipofika ni juhudi zake na ana kila sababu ya kujipongeza kwa anavyoona inafaa PITA NAO BABA MARIJALI TUPO NYUMA YAKO ULIPO TUPO.
 
Let me tell u japo sio shabiki wa mziki wao.
Ile ni kik ya kusaidia kuua skendo ya NANDY!!!Only BIGGER minds will understand this
Hakuna cha bigger wala smaller.
Uchafu ule ndio kuua kiki. Kweli akili ni nywele kila mtu na zake
 
Hamisa ana dharaulika sana yani ni kuchezewa tuu...
 
Kasema sababu yeye ni SUKARII[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko Zari sijui ana hali gani maskini....nakumbuka caption zake za kujitamba leo hii mond anampost hamissa? Itakua kaumia huko alipo!!!
Mwanaume sio babaako
 
halafu naona anaona sifa kubadilisha wanawake kama magari. hamuoni mwenzie kiba kaowa
 
Ila kuna wanaume hawana adabu jamani mwanamke hadi kakuzalia watoto una mabango vile wanaume wa kibongo jamani hata aende akaishi Marekan kama ni mtu wa mtu wa taarabu hawezi badilika,,zari tulimuambia akahisi anaonewa wivu na kuanza rusha madongoo yapo wapiiii tabia ni kama ngozi tu haijifichi ,mwanaume akiwa na tabia chafu hata ampate nanii ,japo zari ulitupiga madongo wabongo ila kwa hili bora afanye aache maneno etiii oooh mwanamke anatakiwa awe kama hivi na nywele zake sio kila siku mawigi na brazilian hair [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiii ndo kasema hivyo?
 
Leo ataandika snapchat mpaka ,mi nilikuwaga nasema mbona hamisa ana kiburi hivii,,halaf mbayaa sana mwanaume kwenda kusimulia habari zako kwa ,wanamke mwingine ndio maana wanashindwa na kuoa maana wana haiba za kike kabisaa,
Yaani kaah!wanaume hawa km mondi ni shida tupu Leo ndo kaona mawigi
 
Back
Top Bottom