Kwa maneno haya machache unamuunga mkono Rc Makonda kuwezesha karibu watoto 1000 kuwa na malezi ya pande mbili(baba na mama)ukilelewa na mama pekee kuna kitu unamis kikubwa sana kwenye malezi, speaking from expirience
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maneno haya machache unamuunga mkono Rc Makonda kuwezesha karibu watoto 1000 kuwa na malezi ya pande mbili(baba na mama)ukilelewa na mama pekee kuna kitu unamis kikubwa sana kwenye malezi, speaking from expirience
Siku Zitto anazungumzia masuala mazito ya kitaifa kulikuwa na tukamera tutatu tu twa online Tvs, huku kuhusu chup* ya Nanndy na uzinzi wa Dimond waandishi kibao.. Shame on you
Online tv siku hizi nyingi ,kwa macamera mengi ni jambo la kulitegemea maana na wao wanapenda habari za kimbea Mbeya ndo zinazowalipa zaidi zinaangaliwa na wengiDiamond kweli star sio kwa macamera hayo. Umaarufu kweli mbaya kitu kidogo kinakuuzwa.
Diamond usirudie tena jaman
Zipo nyingi lakin pale na matv makubwa tbc, itv, azam zilikuwepoOnline tv siku hizi nyingi ,kwa macamera mengi ni jambo la kulitegemea maana na wao wanapenda habari za kimbea Mbeya ndo zinazowalipa zaidi zinaangaliwa na wengi
Duuuuuuh...Najaribu kuunganisha matukio, diamond haelewani na Ruge na nandy anapigwa mashine na ruge. Hili tukio la video ya aibu akiwa na billnas lazima limemkera ruge. Na kwakuwa Nandy na diamond wote ni wahanga wa hili jambo,naamini kwamba,tukio hili linawaunganisha diamond na nandy na hv karibuni nandy anapigwa mashine na Simba. Mark my words!
MI BADO SIJAELEWA HAWA WATU TCRA AU WALIKUWA WANAWATANGAZAMassa mawili kuongelea upuuzi!
Sasa sheria zina kazi gani?
Nandy anatoa ndogo siyoKwa hiyo Nandy kakiri kufanya mapenzi kinyume na maumbile ?aiseeeee
Ndiyo utajua kwamba hii ni Tanzania ya viwanda au Tanzania ya wasanii saniiSiku Zitto anazungumzia masuala mazito ya kitaifa kulikuwa na tukamera tutatu tu twa online Tvs, huku kuhusu chup* ya Nanndy na uzinzi wa Dimond waandishi kibao.. Shame on you