VIDEO: Diamond na Nandy waitwa TCRA, hivi ndivyo ilivyokuwa

VIDEO: Diamond na Nandy waitwa TCRA, hivi ndivyo ilivyokuwa

Najaribu kuunganisha matukio, diamond haelewani na Ruge na nandy anapigwa mashine na ruge. Hili tukio la video ya aibu akiwa na billnas lazima limemkera ruge. Na kwakuwa Nandy na diamond wote ni wahanga wa hili jambo,naamini kwamba,tukio hili linawaunganisha diamond na nandy na hv karibuni nandy anapigwa mashine na Simba. Mark my words!
Idea za kizinzi
 
Siku Zitto anazungumzia masuala mazito ya kitaifa kulikuwa na tukamera tutatu tu twa online Tvs, huku kuhusu chup* ya Nanndy na uzinzi wa Dimond waandishi kibao.. Shame on you
Elimu mkuu
 
Diamond toka atoswe na zari kawa kituko kitukoni. Full kujichanganya mawa wanawake, mara mawaziri mara mabosi wa redio mara kafungiwa nyimbo, yote toka juzi feb hadi april. Pole we.
 
ukilelewa na mama pekee kuna kitu unamis kikubwa sana kwenye malezi, speaking from expirience

Sema ukilelewa na mama mjinga mjinga. Wengine tumelelewa na mama peke yake lakini mwenye kujielewa na uwezo wa kucheza vizuri 'father figure' na hakika hata pengo la Baba halionekani kwenye tabia na mwenendo kwa ujumla wake
 
Siku Zitto anazungumzia masuala mazito ya kitaifa kulikuwa na tukamera tutatu tu twa online Tvs, huku kuhusu chup* ya Nanndy na uzinzi wa Dimond waandishi kibao.. Shame on you
Umeona eeh [emoji87]
IMG-20180419-WA0085.jpg
 
Huwa nacheka hao majibaba wanaomsindikiza dogo...wakiulizwa kuhusu drama zake wanasema hayo ni maisha yake binafsi lakini akikutwa na majanga wapo nae bega kwa bega
Hahaha wapo kama mazombi aiseeeee na walivyo na miili mikubwa sasa wanaonekana kama ma bodyguard wake.

Lol.
 
Sema ukilelewa na mama mjinga mjinga. Wengine tumelelewa na mama peke yake lakini mwenye kujielewa na uwezo wa kucheza vizuri 'father figure' na hakika hata pengo la Baba halionekani kwenye tabia na mwenendo kwa ujumla wake
I second you.
 
Jamaa ana ushawishi mkubwa ktk jamii kuliko huyo zitto
Na ww usiwe mjinga,waandishi wa habari wa vyombo vikubwa kwenda kumrecord mtu anayemkosoa malaika,maana yake na yeye atakuwa adui na malaika...!! Ndo maana unaona zitto kakimbiwa na waandishi wakubwa wote!
 
Siku Zitto anazungumzia masuala mazito ya kitaifa kulikuwa na tukamera tutatu tu twa online Tvs, huku kuhusu chup* ya Nanndy na uzinzi wa Dimond waandishi kibao.. Shame on you
Umeongea kitu cha msingi "we tzns are so lazy and....."
 
Misri wangekula mvua kadhaa wakoma hapo..

Hivi kwann watu walimbuken na simu hz
 
Na ww usiwe mjinga,waandishi wa habari wa vyombo vikubwa kwenda kumrecord mtu anayemkosoa malaika,maana yake na yeye atakuwa adui na malaika...!! Ndo maana unaona zitto kakimbiwa na waandishi wakubwa wote!
Poa mkuu tufanye waandishi ndio wajinga
 
Hahaha wapo kama mazombi aiseeeee na walivyo na miili mikubwa sasa wanaonekana kama ma bodyguard wake.

Lol.
Huyo mwingine nadhani hata TMK WANAUME amewasahau kabisa nadhani hata Yamoto band kusambaratika inaweza kuwa sababu ya nguvu kubwa kuiweka kwa Diamond
 
Back
Top Bottom