Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM TULIZOE KUIBA BILA KUGUSWA SASA HILI KUNGUNI LIKAJA KUTUZUIA NDO MAANA TUKALIONDOA DUNIANI.SIS TULITAKA ANYANYASE WAPINZANI LAKINI MWISHOWE AKAISHIA KUTUUMIZA HADI WANACCM SOTEKwenye video Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao;
View attachment 2425193
Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
Stuxnet , uko vizuri, umefukua kaburi la mwaka!Kwenye video Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao;
View attachment 2425193
Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
Very weak photoshopping skillsNi kweli Bashiru Ally bado mwanachama wa CUF. Kadi yake Namba 01201100 ya aliyokata tarehe 14-03- 2009 hii hapa;
View attachment 2425211
Kama kuna mwenye ya CCM atokeze aiweke hapa
Kuna kipindi ambacho CCM ilijaa kiburi na ubabe kama kipindi cha Magufuli?Sijui kama umeitazama hiyo video na kuielewa vizuri, Magufuli alikuwa very clear kwanini alimpeleka Dr. Bashiru CCM, anasema alimpeleka ili kuondoa uozo wa mazoea alioukuta ndani ya CCM, na akasema anawataka kina Bashiru wengi ndani ya CCM.
Unapolaumu ujio wa Dr. Bashiru ndani ya CCM unaonekana hujui hata sheria za vyama vya siasa, ulitaka CCM wamtenge Dr. Bashiru kwa sababu gani? utambue kila mtanzania anatakiwa kujiunga na chama chochote cha siasa akipendacho, hiyo ni haki ya kila mmoja, usiendekeze siasa za makundi ndizo zinazoitafuna nchi.
Unaigeuza CCM mali ya watu binafsi ndio maana sasa wamejaa viburi, majibu ya dharau, na kuteuana kwa kujuana, kumbe tatizo ni letu wenyewe tunalea huo ujinga bila kujua.
Bado haiondowi ukweli aliopewa "Malkia wa Nyuki"Kwenye video Hayati Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao.
View attachment 2425193
Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
duuh kadi ya 2009 ila muhuri umekolea kama wino ume wekwa leo hyoo picha 😀😀😀😀😀 rudi shule editing cheap sanahNi kweli Bashiru Ally bado mwanachama wa CUF. Kadi yake Namba 01201100 ya aliyokata tarehe 14-03- 2009 hii hapa;
View attachment 2425211
Kama kuna mwenye ya CCM atokeze aiweke hapa
Rudi tena shule ukajifunze jinsi ya kufanya Photoshop huu ni UJINGA wa kiwango cha lamiNi kweli Bashiru Ally bado mwanachama wa CUF. Kadi yake Namba 01201100 ya aliyokata tarehe 14-03- 2009 hii hapa;
View attachment 2425211
Kama kuna mwenye ya CCM atokeze aiweke hapa
Hata kama alikuwa na nia nzuri basi angefuata mchakato wa chama namna ya kumpokea mwanachama mpya. Ila kumleta mtu ambaye hajui chochote kuhusu chama na kumpa majukumu makubwa vile ilikuwa ni UHAYAWANISijui kama umeitazama hiyo video na kuielewa vizuri, Magufuli alikuwa very clear kwanini alimpeleka Dr. Bashiru CCM, anasema alimpeleka ili kuondoa uozo wa mazoea alioukuta ndani ya CCM, na akasema anawataka kina Bashiru wengi ndani ya CCM.
Unapolaumu ujio wa Dr. Bashiru ndani ya CCM unaonekana hujui hata sheria za vyama vya siasa, ulitaka CCM wamtenge Dr. Bashiru kwa sababu gani? utambue kila mtanzania anatakiwa kujiunga na chama chochote cha siasa akipendacho, hiyo ni haki ya kila mmoja, usiendekeze siasa za makundi ndizo zinazoitafuna nchi.
Unaigeuza CCM mali ya watu binafsi ndio maana sasa wamejaa viburi, majibu ya dharau, na kuteuana kwa kujuana, kumbe tatizo ni letu wenyewe tunalea huo ujinga bila kujua.
Hilo unaloliambia linakichwa kikubwa akili ndo empty set ,kila kitu nichukichuki tuu kwa marehemu,hakuna atakachoelewa.Sijui kama umeitazama hiyo video na kuielewa vizuri, Magufuli alikuwa very clear kwanini alimpeleka Dr. Bashiru CCM, anasema alimpeleka ili kuondoa uozo wa mazoea alioukuta ndani ya CCM, na akasema anawataka kina Bashiru wengi ndani ya CCM.
Unapolaumu ujio wa Dr. Bashiru ndani ya CCM unaonekana hujui hata sheria za vyama vya siasa, ulitaka CCM wamtenge Dr. Bashiru kwa sababu gani? utambue kila mtanzania anatakiwa kujiunga na chama chochote cha siasa akipendacho, hiyo ni haki ya kila mmoja, usiendekeze siasa za makundi ndizo zinazoitafuna nchi.
Unaigeuza CCM mali ya watu binafsi ndio maana sasa wamejaa viburi, majibu ya dharau, na kuteuana kwa kujuana, kumbe tatizo ni letu wenyewe tunalea huo ujinga bila kujua.
To prove me wrong you have to come with the original membership card. Otherwise that is a mere sweeping statementVery weak photoshopping skills
Wewe mwerevu uliye graduate kwa Photoshop weka ya kwako hapa. Mnatetea tu kujaza thread, kwani Magufuli aliyemleta amesemaje pale kwenye post Namba 1?Rudi tena shule ukajifunze jinsi ya kufanya Photoshop huu ni UJINGA wa kiwango cha lami
Kama ni kutekana kulianzia kwa kina Ulimboka, na kuuana, mwenyekiti wa CDM Usa River Arusha akachinjwa kwa chain saw, hapo kwa Magufuli ulikuwa ni muendelezo tu.Kuna kipindi ambacho CCM ilijaa kiburi na ubabe kama kipindi cha Magufuli?