Video: Dkt. Bashiru aliletwa CCM na Hayati Magufuli; Asilaumiwe kwa aliyotenda

Video: Dkt. Bashiru aliletwa CCM na Hayati Magufuli; Asilaumiwe kwa aliyotenda

Acha upotoshaji wewe. Umewahi kusikia cuf wanasema popote Bashiru Ally alikua mwanachama wao? Niwale wezi wa mali za ccm peke yao ndio walipoona kawapopoa macho kwenye uchunguzi kuhusu mali za chama wakashikwa na kiwewe kuona anakua katibu mkuu wa ccm.
Kama wewe ulikuwa hujui ndiyo tunakujuza sasa. Hata Polepole alikuwa CHADEMA
 
Hilo unaloliambia linakichwa kikubwa akili ndo empty set ,kila kitu nichukichuki tuu kwa marehemu,hakuna atakachoelewa.
Kama nina akili empty mbona unafuatilia post zangu? Kwenye menu ya Jamii Forums kuna option ya ku IGNORE post za mtu, nenda kabonyeze usione post zangu.

Halafu sitapungukiwa kitu mjinga kama greenwoods akini IGNORE as long as wenye akili wananisoma
 
Unaposema Magufuli aliupaisha huo ukatili maana yake unakiri ulikuwepo kabla.

Kumbe basi, kosa sio la Magufuli peke yake, hata wapinzani nao wana kosa kwa kushindwa kuulaani huo ukatili ulipotokea mwanzo kwa nguvu ile ile waliyotumia kuulaani wakati wa Magufuli.

Masuala mengine uliyoandika hapo ni tabia binafsi za watu, kwasababu hata kama Ulimboka alitekwa akapigwa, tayari aliumizwa, kutokusemwa vibaya baada ya kupigwa, hakuondoi ukweli kwamba alipigwa na kuumizwa.

..NDIO NDIO NDIO.

..Ninakiri ukatili umekuwepo ktk tawala zote hapa Tanzania.

..Hoja yangu ni kwamba utawala wa Magufuli ulikuwa katili kuliko utawala wa Muingereza, Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete.


..Hebu tufanye rejea kidogo ktk TAKWIMU na historia.

..Muingereza aliendesha uchaguzi hapa Tanganyika. Je, ulisikia mgombea hata mmoja wa chama cha Tanu kuenguliwa au kudhalilishwa?

..Sasa rudi kati ya 2016 na 2020 Tume ya uchaguzi wa Magufuli iliengua wagombea wangapi wa upinzani. Hesabu zangu zinaniambia ni maelfu.

..Tuje kwenye udhalilishaji, makesi, na vipigo dhidi ya viongozi na wanachama wa upinzani.

..Ukisoma historia ya Tanu kuna kesi kubwa ya Mwalimu, Makange, na Baghdele. Pia kuna kesi ya mgomo wa mabasi kama sikosei. Hazizidi kesi 10.

..Taarifa za hivi karibuni zinasema serikali ya Magufuli iliwabambikia kesi viongozi na wanachama 400++ wa Chadema.

..Je, uliwahi kusikia Nyerere amelazwa mahabusu, amedhalilishwa, au amepigwa na kujeruhiwa na askari wa Mkoloni / Muingereza?

..Hapa naomba nikukumbushe udhalilishaji waliofanyiwa viongozi wa Chadema walipofungwa kwa kesi ya uongo ya maandamano ya uchaguzi mdogo Kinondoni.

..Viongozi wale, wajumbe wa kamati kuu walinyolewa nywele. Walisachiwa wakiwa uchi wa mnyama. Utawala wa Magufuli ulifanya hayo.

..Je, umewahi kusikia Nyerere kanyolewa nywele na askari magereza wa Mkoloni? Umewahi kusikia amedhalilishwa na kusachiwa uchi wa mnyama?

..Nilitegemea Magufuli walau awe na afadhali kuliko Wakoloni, but his regime was more abusive and brutal na nimekupa ushahidi hapo juu.

..Sasa unakuja kwa mwanazuoni Bashiru. Je, hakuyaona hayo? Kwanini hakuyapinga na kuyakemea?

...Natofautiana na madai yako kwamba wapinzani hawakupinga maovu yaliyofanywa na tawala zilizomtangulia Magufuli.
 
Sijui kama umeitazama hiyo video na kuielewa vizuri, Magufuli alikuwa very clear kwanini alimpeleka Dr. Bashiru CCM, anasema alimpeleka ili kuondoa uozo wa mazoea alioukuta ndani ya CCM, na akasema anawataka kina Bashiru wengi ndani ya CCM.

Unapolaumu ujio wa Dr. Bashiru ndani ya CCM unaonekana hujui hata sheria za vyama vya siasa, ulitaka CCM wamtenge Dr. Bashiru kwa sababu gani? utambue kila mtanzania anatakiwa kujiunga na chama chochote cha siasa akipendacho, hiyo ni haki ya kila mmoja, usiendekeze siasa za makundi ndizo zinazoitafuna nchi.

Unaigeuza CCM mali ya watu binafsi ndio maana sasa wamejaa viburi, majibu ya dharau, na kuteuana kwa kujuana, kumbe tatizo ni letu wenyewe tunalea huo ujinga bila kujua.
Sasa Bashiru awe na subira wakati chama kinarudi kwa wenyewe....
 
..NDIO NDIO NDIO.

..Ninakiri ukatili umekuwepo ktk tawala zote hapa Tanzania.

..Hoja yangu ni kwamba utawala wa Magufuli ulikuwa katili kuliko utawala wa Muingereza, Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete.


..Hebu tufanye rejea kidogo ktk TAKWIMU na historia.

..Muingereza aliendesha uchaguzi hapa Tanganyika. Je, ulisikia mgombea hata mmoja wa chama cha Tanu kuenguliwa au kudhalilishwa?

..Sasa rudi kati ya 2016 na 2020 Tume ya uchaguzi wa Magufuli iliengua wagombea wangapi wa upinzani. Hesabu zangu zinaniambia ni maelfu.

..Tuje kwenye udhalilishaji, makesi, na vipigo dhidi ya viongozi na wanachama wa upinzani.

..Ukisoma historia ya Tanu kuna kesi kubwa ya Mwalimu, Makange, na Baghdele. Pia kuna kesi ya mgomo wa mabasi kama sikosei. Hazizidi kesi 10.

..Taarifa za hivi karibuni zinasema serikali ya Magufuli iliwabambikia kesi viongozi na wanachama 400++ wa Chadema.

..Je, uliwahi kusikia Nyerere amelazwa mahabusu, amedhalilishwa, au amepigwa na kujeruhiwa na askari wa Mkoloni / Muingereza?

..Hapa naomba nikukumbushe udhalilishaji waliofanyiwa viongozi wa Chadema walipofungwa kwa kesi ya uongo ya maandamano ya uchaguzi mdogo Kinondoni.

..Viongozi wale, wajumbe wa kamati kuu walinyolewa nywele. Walisachiwa wakiwa uchi wa mnyama. Utawala wa Magufuli ulifanya hayo.

..Je, umewahi kusikia Nyerere kanyolewa nywele na askari magereza wa Mkoloni? Umewahi kusikia amedhalilishwa na kusachiwa uchi wa mnyama?

..Nilitegemea Magufuli walau awe na afadhali kuliko Wakoloni, but his regime was more abusive and brutal na nimekupa ushahidi hapo juu.

..Sasa unakuja kwa mwanazuoni Bashiru. Je, hakuyaona hayo? Kwanini hakuyapinga na kuyakemea?

...Natofautiana na madai yako kwamba wapinzani hawakupinga maovu yaliyofanywa na tawala zilizomtangulia Magufuli.
Kwa kifupi kabisa ni kwamba wakoloni weupe walikuwa na uafadhali mkubwa sana ukilinganisha na mkoloni Magufuli...
 
Ulitaka tumhoji DIKTETA atuue kama alivyomuua Ben Saanane? Sisi tulijua kuwa Magufuli kwa papara zile na ushamba ule hatoboi hata miaka 3 lazima afe tu. Kwa hiyo tukakaa kimya
Kwa hivyo alivyokufa umefurahi? Unajidai kumchukia magufuli wewe kwanza kwa akili yako unaonekana ni mfagia choo wa mafisadi.
Waombe wakupandishe cheo maana wamemuua ila bado hamjashinda kitu. Jitayarisheni 2025 kurudi kufyata mikia yenu maana hiyo ccm mkiing'ang'ania kama kupe umma wa wananchi watapita ikibidi njia tofauti.
 
Magufuli achukiwe kwa sababu za msingi, sio hizi za kuokoteza okoteza tu na kumtupia.
Wasira alikuwa mbunge wa Bunda kwa chama cha nccr. Kikao cha dharura cha kamati kuu ccm cha jana alihudhuria kama kawaida.

Wanaoibua uanachama wa Bashiru leo hawana majibu kwa hoja alizoibua.
 
Back
Top Bottom