Baada ya kuanza kampeni za kuwania Urais katikati ya kitovu cha nchi na kwenda mikoa mbalimbali, leo mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi amerejea mjini Dodoma na kulakiwa na wananchi mbalimbali wa mkoa.
Katika furaha isiyo kifani, Dkt Magufuli amecheza wimbo wa 'Tanzania ya sasa' uliombwa na msanii Zuchu ukipongeza juhudi zake alizozifanya kama Rais na chama chake cha Mapinduzi kuibadilisha Tanzania.
Amefanya mengi makubwa na atashinda ila angepata msaada wa kuweza kukubali hata mapungufu kiasi na kuahidi kuyafanyia kazi.Masula ya uhuru wa watu,kesi za kubambikia,muingiliano wa mihili.Haya angekubali tu kuwa mapungufu na yupo tayari kuyafanyia kazi.
Huu ni wakai wa kuwa humble na kukubali makosa ili atimize alichodhamiria katika maika mingine mitano.