Uchaguzi 2020 VIDEO: Dkt. Magufuli arejea Makao Makuu ya nchi Dodoma, aserebuka wimbo wa Zuchu mbele ya wananchi

Amefanya mengi makubwa na atashinda ila angepata msaada wa kuweza kukubali hata mapungufu kiasi na kuahidi kuyafanyia kazi.Masula ya uhuru wa watu,kesi za kubambikia,muingiliano wa mihili.Haya angekubali tu kuwa mapungufu na yupo tayari kuyafanyia kazi.
Huu ni wakai wa kuwa humble na kukubali makosa ili atimize alichodhamiria katika maika mingine mitano.
 

Tueleze faida za ndege kwa wanaichi wa Tanzania wasio na huduma nzuri ya maji na afya. Twende tu taratibu . Tusitukanane wala kuvunjiana heshima
 
2020 OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Maswali yaleyale ya yule movu rusfeli; Kama kweli ww ni mwana wa Mungu Basi Fanya hivi au vile...!aJitathiminu ndugu!
 
Kuna umbumbu mwingine hata unashindwa kujua uanzie wapi kumpa SoMo maana siyo kwa upoyoyo wa kiwango Airbus!
 
Hivi ni kweli hujaona sera!?, Wapi ulikoona sera
 
Kuna umbumbu mwingine hata unashindwa kujua uanzie wapi kumpa SoMo maana siyo kwa upoyoyo wa kiwango Airbus!

Tunakwenda nayo taratibu hivo hivo ,, Inchi kuwa na shirika lake imara la usafirshaji wa anga ni jambo zuri ,kwa hali ya Tanzania ya sasa ndege zilikuwa bado sio muhimu kwetu,, tungeboresha kwanza huduma za afya ,elimu ,barabara etc . Je ni sahihi baba kujenga gorofa huku watoto wanapata kwashakoo ,! Haraka haraka utajijibu hapana. Kwahiyo Jiwe anachokifanya sio sahihi.

Pia kujenga uwanja wa ndege Chato wa kimataifa,sio sahihi kabisa , .Japikuwa chato ni Tanzania , why isiwe mwanza kwenye muingiliano mkubwa wa watu na uhitaji mkubwa !! . Tunapaswa kufanya mambo kwa priorities!!
 
Kwa Nini KIA wakati Kuna Arusha airport?
 
Duniani Mgombea yoyote wa siasa anapowania kiti cha kuchaguliwa na wananchi, lazima awe myenyekevu. Sio magufuli pekee. Hata lissu akichaguliwa atakuwa mbogo na hataonekana kirahisi, tusidanganyane.
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mifano uliyotumia Haina uhusiano na hayo matukufu ya Magufuli! Hapa Kuna maamuzi ya kuipanda ama kukaanga na kula mbegu! Magu kaamua kuzipanda, wenye njaa wanamlalamikia Leo Ila kesho watacheka na kumshukuru!
 
Mifano uliyotumia Haina uhusiano na hayo matukufu ya Magufuli! Hapa Kuna maamuzi ya kuipanda ama kukaanga na kula mbegu! Magu kaamua kuzipanda, wenye njaa wanamlalamikia Leo Ila kesho watacheka na kumshukuru!



Hii mada imekuzidi upeo ,kaa pembeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…