Video: Dogo wa elfu 2 amkomalia jamaa wa 80 alie mtorosha ndege wake

Video: Dogo wa elfu 2 amkomalia jamaa wa 80 alie mtorosha ndege wake

Hapo ishu siyo demu.
Dogo hataki dharau.
Bora afe kuliko kudhalilishwa na kuonewa. Hiyo ni true masculine instinct.
Lion's heart, a quest to defend his territory and dignity. A quest to defend his honour.
Huyo siyo wale unavamiwa na vibaka unakimbia familia yako.
Bora kufa.
100% Fact
 
2000 has entered the chat😂🤣
Wamekuja kufanya come back. Ila sometimes madogo wana hoja. Unakuta wadingi wa age ya Warioba wanasakama madogo wa 2000 kwa kushindwa kuchukua action kupigania masilahi ya nchi mfano sheria mbovu tulizonazo.

Unabaki unajiuliza hizi sheria zilipitishwa kipindi wao ni watu mzima, na madogo hata hawajaliwa, sasa kwanini hawakuchukua hatua kuanzia mwanzo kabisa ili mswaada usipitishwe from the first place.
 
Wamekuja kufanya come back. Ila sometimes madogo wana hoja. Unakuta wadingi wa age ya Warioba wanasakama madogo wa 2000 kwa kushindwa kuchukua action kupigania masilahi ya nchi mfano sheria mbovu tulizonazo.

Unabaki unajiuliza hizi sheria zilipitishwa kipindi wao ni watu mzima, na madogo hata hawajaliwa, sasa kwanini hawakuchukua hatua kuanzia mwanzo kabisa ili mswaada usipitishwe from the first place.
Labda kwa kuwa madogo wanavuta bangi hawaogopi😁😁
 
Hawa madogo wakidai haki zao nyingine za msingi kama hivi wataikomboa nchi. Yaani hapo wangekuwa wanaandamana kudai ahki zao anabishana na polisi inegependeza sana.
Nyie mbona mlishindwa kudai haki zenu 😹
 
Hawa madogo wakidai haki zao nyingine za msingi kama hivi wataikomboa nchi. Yaani hapo wangekuwa wanaandamana kudai ahki zao anabishana na polisi inegependeza sana.
Wako busy kudai haki ya mbususu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Hii video ilipostiwa mwaka jana hapa hapa jamii forum. Naona imerudiwa
 
Back
Top Bottom