100% FactHapo ishu siyo demu.
Dogo hataki dharau.
Bora afe kuliko kudhalilishwa na kuonewa. Hiyo ni true masculine instinct.
Lion's heart, a quest to defend his territory and dignity. A quest to defend his honour.
Huyo siyo wale unavamiwa na vibaka unakimbia familia yako.
Bora kufa.
Kijana wangu wa pili kazaliwa dec 25, 20032000 has entered the chat😂🤣
bro nakuheshimu, hivyo nawe jiheshimu mzeeKijana wangu wa pili kazaliwa dec 25, 2003
😂😂😂Kijana tulia una Christmas 25 tu hapa ulimwengunibro nakuheshimu, hivyo nawe jiheshimu mzee
Ila we Jamaa eti mtoto wa kwanza 2003, aisee😂.😂😂😂Kijana tulia una Christmas 25 tu hapa ulimwenguni
Wamekuja kufanya come back. Ila sometimes madogo wana hoja. Unakuta wadingi wa age ya Warioba wanasakama madogo wa 2000 kwa kushindwa kuchukua action kupigania masilahi ya nchi mfano sheria mbovu tulizonazo.2000 has entered the chat😂🤣
Labda kwa kuwa madogo wanavuta bangi hawaogopi😁😁Wamekuja kufanya come back. Ila sometimes madogo wana hoja. Unakuta wadingi wa age ya Warioba wanasakama madogo wa 2000 kwa kushindwa kuchukua action kupigania masilahi ya nchi mfano sheria mbovu tulizonazo.
Unabaki unajiuliza hizi sheria zilipitishwa kipindi wao ni watu mzima, na madogo hata hawajaliwa, sasa kwanini hawakuchukua hatua kuanzia mwanzo kabisa ili mswaada usipitishwe from the first place.
😂🙌🙌🙌Ila we Jamaa eti mtoto wa kwanza 2003, aisee😂.
Bro bro bro nime kuita mara tatu 😂
Njemba imeloa🤣🤣🤣 jamaa haamini kinachotokea,
Unataka awe na feminine instincts?hapo akiuliwa tutasema sababu walikuwa wanagombea kademu, hiyo masculine instinct ina mashiko gani
Nyie mbona mlishindwa kudai haki zenu 😹Hawa madogo wakidai haki zao nyingine za msingi kama hivi wataikomboa nchi. Yaani hapo wangekuwa wanaandamana kudai ahki zao anabishana na polisi inegependeza sana.
We had easy good life back then.Nyie mbona mlishindwa kudai haki zenu 😹
Wako busy kudai haki ya mbususu🙆♂️🙆♂️🙆♂️Hawa madogo wakidai haki zao nyingine za msingi kama hivi wataikomboa nchi. Yaani hapo wangekuwa wanaandamana kudai ahki zao anabishana na polisi inegependeza sana.
Baba muongo wewe 😹😹We had easy good life back then.
SadAisee, angalia vijana anasema niue kisa kademu, ni jambo la kusikitisha, yaani kisa kademu mpaka mama mzazi anatajwa