Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Asubuhi njema kiongozi, sometimes ukitaka mada ichangamke uwe tayari kuwa challenged na preconceived beliefs zako na uwe tayari kujibu hoja kama mwenzako ArsisHoja unaikosoa Quran iliokuja wakati dunia inaanza lkn unakomalia wanasayansi waliozaliwa juzi juzi na kuleta vioja vioja tu
Umetukanwa wapi? Umeambiwa unakuja vioja vyako vya kitoto. Unajua kana sayansi inabadilika? Na kila mwanasayansi huja na yake. Kwa mfanoAsubuhi njema kiongozi, sometimes ukitaka mada ichangamke uwe tayari kuwa challenged na preconceived beliefs zako na uwe tayari kujibu hoja kama mwenzako Arsis
Ukishaanza kutukana watu unaanzizha vurugu machi ambazo zinaenda nje ya context.
Kwetu kumekucha muda wa mambo mengine. 👋
Kipi kibayaalichokiongea hapo hata umshambulie kwa kumtusi?Adam na hawa walikuwa Jewish? Akili zako kama kuku jike anaejifanya kukimbia jogoo kumbe anautaka?
Lipi tusi hapo?Kipi kibayaalichokiongea hapo hata umshambulie kwa kumtusi?
Quran ilikuja wakati wa Muhamad.Hoja unaikosoa Quran iliokuja wakati dunia inaanza lkn unakomalia wanasayansi waliozaliwa juzi juzi na kuleta vioja vioja tu
Mungu akuongoze ktk ukafiri , ujinga na upumbavu uliojaa ktk moyoni mwakoNikajua unatuonyesha dunia ilivyoumbwa kwa picha na video za Mchakato mzima kumbe story za hawa wahuni😳😳😳
Sayansi kuhusu Asili ya Maji:Quran ilikuja wakati wa Muhamad.
SAYANSI IMEKUJA HIVI JUZI JUZI"Je, wale walio kufuru hawakujua kwamba mbingu na ardhi zilikuwa kitu kimoja, kisha tukazitenganisha? Na tukafanya kila kiumbe cha maji kuwa hai. Je, hawataki kuamini?"
Kujibizana mtu kama huyo humu ni kosa kubwa sawa na ubakaji tena wa mtoto wa under 5Nikupoteza muda inaoneka hujui hata dini gani ilikuwa ya kwanza kurasimisha kitabu chao, kulikuwa na versions ngapi, na hakina nani walikuwa wanachagua version zipi ziwekwe.
Not sure kama hata ushawahi sikia kuhusu ‘dead sea scrolls’.
Huko kwenye science na hiyo hadithi ya Sheikh wako hata nikikwambia time ni relative uwezi elewa ‘siku moja ya Venus inachukua muda mrefu (going into its rotation) kuliko Venus inavyozunguka jua’.
Milkway ina nyota zaidi ya billion moja nyingi uzioni bila ya powerful telescope, nyota unazoziona angani kwa macho yako ni kama 10% ya nyota zote zilizopo milkway, kwa ‘Drake Equation’ potential ya life Milkway tu ni kama 5% ya nyota (sasa chukulia nyota billion moja).
Milkway ni galaxy moja kati ya trillion, sasa kama hujui hata msingi wa vitabu vya dini tu, I dont have the time to discuss matters which require somewhat eclectic knowledge ya kusoma vitabu vya dini, religious archeology, normal archeology, history, philology, astrophysics na cosmology.
Wewe hujui lolote zaidi ya ujinga na matusi tu
Wasomi wasiokuwa waislam wanakuja na theory za 2011 za mabibi zao wajuzi juzi kupinga maandiko ya matrilion ya miaka ya nyumaMada imemzidi uwezo mleta mada.
Ushazoea maada ya haki za mashoga utaweza mada za sayansi?Kujibizana mtu kama huyo humu ni kosa kubwa sawa na ubakaji tena wa mtoto wa under 5
Kuna maandishi ya kale zaidi ya hadithi ya epic of gilgamesh unayafahamu?Wasomi wasiokuwa waislam wanakuja na theory za 2011 za mabibi zao wajuzi juzi kupinga maandiko ya matrilion ya miaka ya nyuma
Atleast Huyu kaeleza Vya Kueleweka
Na Mimi nasubiri Jibu hilo.ChiefKuna maandishi ya kale zaidi ya hadithi ya epic of gilgamesh unayafahamu?
Shukran kwa kusikiliza na kuelewaAtleast Huyu kaeleza Vya Kueleweka
Epic of Gilgamesh ni moja ya maandiko ya kale zaidi duniani na inatoka kwa tamaduni za Sumeria, Mesopotamia, ambayo inasimulia hadithi ya mfalme Gilgamesh wa Uruk, ambaye alikuwa nusu mungu na nusu binadamuKuna maandishi ya kale zaidi ya hadithi ya epic of gilgamesh unayafahamu?
Kuna Sayansi gani uliyoiweka hapo? Na hizo mada za mashoga ambazo huwatunakutana huwa unafuata nini? Au wewe ndiye shoga? Maanamimi najulikana kwa umende. Au wewe ndiye yul ambaye tupu yake ya nyuma huwa unajipaka Detol?Ushazoea maada ya haki za mashoga utaweza mada za sayansi?
Asante sana endelea kusoma kurasa zinazofuata halafu linganisha na maandiko ya kwenye dini yako iwe wewe ni mwislamu ama mkristo baada ya wiki turudi kujadili hapa🙏Epic of Gilgamesh ni moja ya maandiko ya kale zaidi duniani na inatoka kwa tamaduni za Sumeria, Mesopotamia, ambayo inasimulia hadithi ya mfalme Gilgamesh wa Uruk, ambaye alikuwa nusu mungu na nusu binadamu