VIDEO: Dunia ilivyoumbwa

VIDEO: Dunia ilivyoumbwa

Hoja unaikosoa Quran iliokuja wakati dunia inaanza lkn unakomalia wanasayansi waliozaliwa juzi juzi na kuleta vioja vioja tu
Asubuhi njema kiongozi, sometimes ukitaka mada ichangamke uwe tayari kuwa challenged na preconceived beliefs zako na uwe tayari kujibu hoja kama mwenzako Arsis

Ukishaanza kutukana watu unaanzizha vurugu machi ambazo zinaenda nje ya context.

Kwetu kumekucha muda wa mambo mengine. 👋
 
Asubuhi njema kiongozi, sometimes ukitaka mada ichangamke uwe tayari kuwa challenged na preconceived beliefs zako na uwe tayari kujibu hoja kama mwenzako Arsis

Ukishaanza kutukana watu unaanzizha vurugu machi ambazo zinaenda nje ya context.

Kwetu kumekucha muda wa mambo mengine. 👋
Umetukanwa wapi? Umeambiwa unakuja vioja vyako vya kitoto. Unajua kana sayansi inabadilika? Na kila mwanasayansi huja na yake. Kwa mfano

Mfano wa tofauti za mitazamo ya wanasayansi kuhusu kuumbwa kwa dunia ni nadharia ya kuumbwa kwa dunia. Ingawa kuna makubaliano kuhusu baadhi ya vipengele, wanasayansi wanatofautiana katika baadhi ya vipengele vya mchakato huu.

Mfano: Kuumbwa kwa Dunia

1. Nadharia ya Big Bang (Big Bang Theory):
Wanasayansi wengi wa fizikia na cosmology wanakubaliana na nadharia ya Big Bang. Hii inasema kwamba ulimwengu ulianza takribani bilioni 13.8 zilizopita kutoka kwa hali ya hali ya juu ya joto na msongamano mkubwa, na kisha ukapanuka (expansion). Dunia ni sehemu ya mchakato huu wa kupanuka. Nadharia hii inaungwa mkono na ushahidi wa mionzi ya Big Bang na upimaji wa harakati za galaxies.


2. Nadharia ya Kivuli (Steady State Theory):
Ingawa hii ni nadharia ambayo imeshapoteza umaarufu, baadhi ya wanasayansi waliamini katika nadharia ya kivuli ambayo inasema kwamba ulimwengu umeexist kwa muda mrefu bila kuanza kwa Big Bang, bali unapanuka lakini wakati huo huo materia mpya inaundwa ili kuboresha density ya ulimwengu. Hii inatofautiana na Big Bang kwa sababu haikubali kuwa ulimwengu una mwanzo maalum.



3. Nadharia ya Uumbaji wa Dunia kwa Njia ya Asteroidi (Asteroid Impact Hypothesis):
Wengine wanaona kuwa dunia iliundwa kutokana na athari za asteroidi au miamba mikubwa kutoka angani ambayo iligonga sayari ya dunia, ikisababisha joto kubwa na mabadiliko katika muundo wa dunia na bahari. Hii inaungwa mkono na tafiti za meteoritic impact craters.
 
Quran ilikuja wakati wa Muhamad.
Sayansi kuhusu Asili ya Maji:

1. Maji kutoka kwa Gasi na Maji ya Mwepesi (Water Vapor and Volatiles):

Uumbaji wa Maji: Wanasayansi wanaamini kuwa maji kwenye sayari ya Dunia yalikuwepo tangu hatua za awali za uumbaji wake. Hii ni kutokana na nadharia ya Big Bang na teori ya accretion (mchakato wa kukusanya nyota na sayari kupitia mvutano).

Wakati sayari ya Dunia ilikuwa ikiundwa, gesi na nyota zilikuwa zikizalisha molekuli za maji (H₂O), ambazo zilikuja kuwa sehemu ya mazingira ya Dunia. Maji yanaweza kuwa yalipatikana kutoka kwa mvuke wa maji (water vapor) ulioachiliwa kutoka kwa mali ghafi ya dunia (volatile compounds) katika hatua za mwanzo za uumbaji wa dunia.



2. Asteroidi na Meteorites:

Meteorites na asteroidi zinazohusika na uumbaji wa Dunia zinadhaniwa kuwa zimechukua sehemu ya maji yaliyopo kwenye dunia. Wanasayansi wanaamini kwamba baadhi ya maji kwenye dunia yaliletwa na meteorites zilizojaa icy planetesimals kutoka mikoa ya mbali ya mfumo wa jua.

Tafiti za kisasa zimeonyesha kuwa meteorites zilizobeba molekuli za maji ziliathiri sana uundaji wa maji kwenye sayari ya Dunia.



3. Maji na Viumbe Hai:

Maji pia yanahusishwa na maisha. Maji ni muhimu sana kwa kuendeleza maisha ya kila aina. Hata kabla ya kuonekana kwa maisha, maji yalikuwapo kama kiungo cha kimsingi kinachohusiana na mchakato wa kemia na fizikia inayohitajika kwa uundaji wa viumbe hai. Kwa hivyo, maji yanadhaniwa kuwa ni sehemu ya msingi katika mchakato wa kimazingira ulioleta uhai.




Uhusiano na Qur'an:

Katika Qur'an, Surah Al-Anbiya (21:30) inasema:

"Je, wale walio kufuru hawakujua kwamba mbingu na ardhi zilikuwa kitu kimoja, kisha tukazitenganisha? Na tukafanya kila kiumbe cha maji kuwa hai. Je, hawataki kuamini?"
SAYANSI IMEKUJA HIVI JUZI JUZI
 
Nikupoteza muda inaoneka hujui hata dini gani ilikuwa ya kwanza kurasimisha kitabu chao, kulikuwa na versions ngapi, na hakina nani walikuwa wanachagua version zipi ziwekwe.

Not sure kama hata ushawahi sikia kuhusu ‘dead sea scrolls’.

Huko kwenye science na hiyo hadithi ya Sheikh wako hata nikikwambia time ni relative uwezi elewa ‘siku moja ya Venus inachukua muda mrefu (going into its rotation) kuliko Venus inavyozunguka jua’.

Milkway ina nyota zaidi ya billion moja nyingi uzioni bila ya powerful telescope, nyota unazoziona angani kwa macho yako ni kama 10% ya nyota zote zilizopo milkway, kwa ‘Drake Equation’ potential ya life Milkway tu ni kama 5% ya nyota (sasa chukulia nyota billion moja).

Milkway ni galaxy moja kati ya trillion, sasa kama hujui hata msingi wa vitabu vya dini tu, I dont have the time to discuss matters which require somewhat eclectic knowledge ya kusoma vitabu vya dini, religious archeology, normal archeology, history, philology, astrophysics na cosmology.

Wewe hujui lolote zaidi ya ujinga na matusi tu
Kujibizana mtu kama huyo humu ni kosa kubwa sawa na ubakaji tena wa mtoto wa under 5
 
1732858648615.jpg
 
Kuna maandishi ya kale zaidi ya hadithi ya epic of gilgamesh unayafahamu?
Epic of Gilgamesh ni moja ya maandiko ya kale zaidi duniani na inatoka kwa tamaduni za Sumeria, Mesopotamia, ambayo inasimulia hadithi ya mfalme Gilgamesh wa Uruk, ambaye alikuwa nusu mungu na nusu binadamu
 
Nilipoona tu ni wazee wa ubwabwa nimeona hakuna haja ya kupoteza bandle.
Mudi na wafuasi wake ni waongo waongo sana.
Tangu alipochukua beseni na kulijaza maji kisha kuwaonyesha watu mwezi na kusema kauvuta mpaka chini siwezi kumwamini tena.
Toka alivyobaka mtoto wa miaka 9 na baadaye kutangaza kuwa ni mke wake siwezi kumwamini tena
 
Ushazoea maada ya haki za mashoga utaweza mada za sayansi?
Kuna Sayansi gani uliyoiweka hapo? Na hizo mada za mashoga ambazo huwatunakutana huwa unafuata nini? Au wewe ndiye shoga? Maanamimi najulikana kwa umende. Au wewe ndiye yul ambaye tupu yake ya nyuma huwa unajipaka Detol?
 
Epic of Gilgamesh ni moja ya maandiko ya kale zaidi duniani na inatoka kwa tamaduni za Sumeria, Mesopotamia, ambayo inasimulia hadithi ya mfalme Gilgamesh wa Uruk, ambaye alikuwa nusu mungu na nusu binadamu
Asante sana endelea kusoma kurasa zinazofuata halafu linganisha na maandiko ya kwenye dini yako iwe wewe ni mwislamu ama mkristo baada ya wiki turudi kujadili hapa🙏
 
Back
Top Bottom