Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Humu kuna watu hawataki yasemwe kwa uwazi mabaya aliyofanya Magufuli..
Kila binadamu ana udhaifu fulani na ndio maana kila muda kwenye nyumba za ibada tunakumbushwa kuomba toba.

Magufuli kama binadamu aliyepita inabidi asemwe kusudi iwe fundisho kwa vizazi vijavyo kwa namna ya kupata viongozi wenye busara na ngozi nene ( kuhimili changamoto za kiuongozi)

Magufuli hakuweza kuhimili changamoto na hivyo kujikuta anaumiza watu kwakuwa alikuwa na cheo kikubwa kilichompa kiburi.

Lazima Magufuli asemwe kwakuwa hakufuata sheria.. Alipenda sifa binafsi na kujiona kwamba yeye ndiye mwenyewe yupo sahihi.

Lazima asemwe ili iwe fundisho kwa taifa hasa kupata kiongozi mwenye utimamu wa akili katika kuongoza watu na taasisi zake kwa kufuata sheria.. Na kuondoa UMIMI kwa kila jambo mpaka taifa kujikuta amevuruga kila kitu.. Kuanzia ajira, biashara ( kaharibu sekta binafsi Sana), mahusiano ya kimataifa, siasa za manunuzi, siasa za risasi, siasa za zidumu fikra za mwenyekiti..
Alikwenda kufanya Mahakama ziwe hovyo sana hasa pale Serikali ikiwa inalalamikiwa..

Magufuli hakufaa kuwa Rais, alijaa roho ya visasi sana
Sio ya Magufuli tu! Aseme ya wote ata mzee kurume kumuua Hanga pia aseme na unyama alioufanya kule kwao, pia asimsahau mzee Kikwete kwani Dkt Mvungi, Mwagosi ata wakina Dkt Ulimboka pia yasemwe au hayo hayakuwa madhira yaliyowakuta wenzetu? Kwanini yaonekaa ya Magufuli tu?
 
You are quite wrong IWILL !! Madam Fatma has got nothing to do with wrong doings of her grandfather whatsoever. And it is out of this thread to be serious. She is expressing the atrocities of the late dictator who ruled this country ruthlessly.

If you are a cabal or proxy of the late despot, go to hell as well
She should began to highlight the original sin…the beginning of dictatorship who you called her grandfather….and then points to the others who she think they did wrong to her interest and her family period! She is not even madam…spinster
 
..kila mtu anajua kilichotokea.

..nadhani hakuna haja ya kubishana kuhusu nini kilitokea.

..we should come together as a nation kuangalia namna bora ya kuwafariji walioumizwa.

..ningependa wachangiaji wanaotukanana ktk mjadala huu wavae viatu vya wazazi wa Ben Saanane.

..tujiulize wazazi wa Ben Saanane wanaamkaje, wanashindaje, na wanalalaje?

..Kabla ya ku-post tuwafikirie mke, watoto, na wazazi wa Azory Gwanda. Hivi tumewaona jinsi walivyo masikini? Na Azory ndio alikuwa tegemeo lao.

..Tukirudi kwa Fatma Karume, ofisi yake imepigwa bomu. Je, kilichotokea ni uungwana? Je, ni halali? Je, amepata haki yake?

..Je, Fatma ame-react kinyume na matarajio? Kwanini tunaona ajabu Fatma Karume kulalamika? Nini kifanyike ili Fatma Karume na wengine waliofikwa na majanga wasilalamike?

..Again, natamani Watanzania tuwe kitu kimoja na kushinikiza HAKI itendeke kwa wote walioumizwa.
Nadhani katika post zote hii Ni kuweka kumbukumbu. Umejibu umemaliza. Asante Sana. RIP BEN, AZORY, COCO BEACH SANDARUSI
 
Nadhani katika post zote hii Ni kuweka kumbukumbu. Umejibu umemaliza. Asante Sana. RIP BE AZORY, COCO BEACH SANDARUSI
Great! Eti mtu kwa kukosa madaraka anaanza kuchafua hali ya hewa ya nchi ili watu wafe, creat hate for person gains
 
Sasa tuhitimishe mjadala kwa kupiga kura i.e tuhesabu posts zinazomtetea Magufuli na zinazomnanga, zinazolaani matendo yake aliyoyafanya akiwa hai.
 
Ukweli huu wengi wanajaribu kuukwepa na kuukataa kwa hoja za ajabu ajabu sana...

Ila ukweli upo na umesimama tisti kuwa, Hayati Rais John P. Magufuli ndiye aliyeamuru Tundu Lissu kupigwa risasi ama auwawe kwa njia yoyote ile bila sababu yoyote ile..!!

In any case, hakuna sababu yoyote inayoweza ku - justify mtu mwingine kumuua binadamu mwenzake...

Magufuli hakuwa na sababu ya kutoa amri ya kuuwawa mtu huyu...

Inawezekana sababu ikawa;

"...Tundu Lissu alikuwa anamkera sana Rais Magufuli.."

Kama hii (na ofcoz ndivyo ilivyo) ndiyo sababu, basi naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, basi huyu alikuwa Rais mjinga, dhaifu na mpumbavu sana...!

Mungu aliyetuumba tunamkosea kila siku. Tuna mkera kila siku. Tunamtukana kila aina aina ya matusi, lakini haamuru tupigwe risasi 37 kila mtu tufe!

Yeye Magufuli alikuwa nani ajichukulie sheria ya Mungu ya kuua mikononi mwake...?

It was a big mistake of his life time na ambalo limegharimu maisha yake, na definitely, alistahili AFE HUYO..!
Alimuua saa8 bila huruma
 
Mbona haelezi namna Wazanzibar walivyouliwa na babu yake kisa tu akihofia wasomi kama Kassim Hanga na wengine walivyokufa kifo kibaya.

Anatumwa na watu kumtukana Magufuli bila sababu wakati babu yake alifanya ukatili wa wazi kabisa na kuua watu huko Zanzibari.

Hapo alipo hana mikono misafi kabisa maana familia yao imejaa dhambi na ukatili.
Eleza wewe unayeelewa
 
Mwendazake alikuwa chuma cha pua hata ukimchafua hachafuki!! the bulldozer@!Magu kajaa mioyoni mwa wabongo kumponda ni kumuongezea umaarufu na Upendo walionao wabongo juu yake!
Chuma cha masikio labda
 
Fatma hana moral authority ya kukisema Chuma JPM, Sisi wazee wa imani tunaamini kuwa Kifo cha JPM ni Sadaka kwetu, Mtu aliyepambana Wananchi wake asiwafungie ndani kisa Convid mtu aliyetoa hofu ya convid mpaka kupelekea shughuli za uchumi kutosimama na taifa kutoanguka huyo ni Shujaa kama askari namba moja alipambana sana, Na katika Hilo Kifo chake imekuwa kama Sadaka kwetu, Mungu ampe pumziko na milele
Mlisubiri covid imuue alafu mumsifie. Ha ha ha ha
 
Stockholm, Sweden

Ansbert Ngurumo, Journalist who fled for his life in 2017 from his native Tanzania on media freedom



Wits University hosted the 16th Carlos Cardoso Memorial Lecture in honour of the Mozambican journalist assassinated while investigating corruption 20 years ago. Journalist Ansbert Ngurumo, a journalist who fled for his life in 2017 from his native Tanzania has more....
Source : newsroom Afrika
Jamaa alijirundikia maaskari mamia wenye siraha akidhani wanaepusha kifo. Yuko wapi sasa!!?
 
Mbona haelezi namna Wazanzibar walivyouliwa na babu yake kisa tu akihofia wasomi kama Kassim Hanga na wengine walivyokufa kifo kibaya.

Anatumwa na watu kumtukana Magufuli bila sababu wakati babu yake alifanya ukatili wa wazi kabisa na kuua watu huko Zanzibari.

Hapo alipo hana mikono misafi kabisa maana familia yao imejaa dhambi na ukatili.
Thank you
 
Huyo kahaba mwenzako mbona haelezi namna babu yake alivyomuua Kassim Hanga na kwenda kumtupa baharini? Anabakia kumsingizia Magufuli. Acha ushabiki wa kishoga utavuliwa chupi sana.
Thank you. Wanadhani sisi ni wajinga.
 
CCM mwanzoni waliona sawa dikteta alipokua anaumiza wasio upande wake 2016,2017,2018 mpaka pale 2019 walipopata ukali wa maumivu na zile audio kuvuja wakimuita mshamba.

Ni tatizo walilolitengeneza wenyewe mpaka siku likawapata na wao ndio kushtuka hakuna upande ulio salama zaidi ya upande wa kusifu tu.
 
Kila nafsi itaonja mauti. He was surrounded with enemies. Hata kumaliza term ya kwanza Mungu alimpigania sana. Cha mhimu ni kwamba ameonyesha watanganyika kuwa tunaweza
Katuonyesha kweli tunaweza jikuta tunaingiza kichaa ikulu
 
Back
Top Bottom