Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Fatma you are the best. You are the most courageous and intelligent person to have in our country, you will go down the history as a strongest woman, I am short of words to describe you. But let me say you are wonderful person.
 
Hicho kisimbe kimuache Magufuli apumzike salama.
Wacha matusi wewe, Hitler alikufa lakini bado tunamsema kwa maovu yake, pia Mussolini, Stalin na wengine. Angetaka asisumbuliwe angetenda mema. Akina Ben Saanane na wengine waliotupwa baharini na kwenye mito pia walihitaji maziko ya heshima
 
Mara waseme hakushinda uchaguzi mara waseme walimchonga wenyewe sisi tuwaeleweje?
 
Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16.

Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21.

View attachment 2241890
Nasema tena tulipata rais wa ovyo kuliko mtu mwingine yoyote yule, kwa sababu alitoka kule watu wanakouana kutokana na sababu za ushirikina wa kisukuma, aliona kuua ni kitu cha kawaida. Fatma ungeendelea kusema kuwa tulipata rais ambaye hakuwa civilized kabisa. Watu waliuawa na kutekwa mchana kweupe na huyo rais Magufuli wa ovyo, alifanya nchi kama kijiji chake cha huko usukumani. Mnasema tumwache apumzike? Na wale aliowaua hawahitaji kupumzika, acheni Double standard ninyi watanzania wengine. Fatma amesema ukweli kwa asilimia 100. Magufuli alikuwa muuaji mkubwa na hilo halina ubishi
 
Humu kuna watu hawataki yasemwe kwa uwazi mabaya aliyofanya Magufuli..
Kila binadamu ana udhaifu fulani na ndio maana kila muda kwenye nyumba za ibada tunakumbushwa kuomba toba.

Magufuli kama binadamu aliyepita inabidi asemwe kusudi iwe fundisho kwa vizazi vijavyo kwa namna ya kupata viongozi wenye busara na ngozi nene ( kuhimili changamoto za kiuongozi)

Magufuli hakuweza kuhimili changamoto na hivyo kujikuta anaumiza watu kwakuwa alikuwa na cheo kikubwa kilichompa kiburi.

Lazima Magufuli asemwe kwakuwa hakufuata sheria.. Alipenda sifa binafsi na kujiona kwamba yeye ndiye mwenyewe yupo sahihi.

Lazima asemwe ili iwe fundisho kwa taifa hasa kupata kiongozi mwenye utimamu wa akili katika kuongoza watu na taasisi zake kwa kufuata sheria.. Na kuondoa UMIMI kwa kila jambo mpaka taifa kujikuta amevuruga kila kitu.. Kuanzia ajira, biashara ( kaharibu sekta binafsi Sana), mahusiano ya kimataifa, siasa za manunuzi, siasa za risasi, siasa za zidumu fikra za mwenyekiti..
Alikwenda kufanya Mahakama ziwe hovyo sana hasa pale Serikali ikiwa inalalamikiwa..

Magufuli hakufaa kuwa Rais, alijaa roho ya visasi sana
Mkuu Ngarob umeua. Hii post yako iwelewe lamination
 
Ukweli ambao si wengi watataka kuusikia ila hilo halifanyi alichosema kuwa uongo.
Mimi hadi leo hainiingii akilini kwamba Ofis za EMMA Advocates pale Upanga zinalipuliwa na Mabomu sehemu ambayo ni very highly protected na mita chache tu kutoka hapo kuna Makao makuu Ya Jeshi na bado mpaka leo hatukuambiwa hatima ya watu waliolipua lile bomu.


Kwamba hao majambazi na wahalifu waliofanya tukio lile la kuhatarisha amani ya nchi kwa dharau hiyo wana mguvu kuliko vyombo vyetu vya usalama combined??

Itanichukua muda mrefu sana kufikiri jambo hili.
 
Mimi hadi leo hainiingii akilini kwamba Ofis za EMMA Advocates pale Upanga zinalipuliwa na Mabomu sehemu ambayo ni very highly protected na mita chache tu kutoka hapo kuna Makao makuu Ya Jeshi na bado mpaka leo hatukuambiwa hatima ya watu waliolipua lile bomu.


Kwamba hao majambazi na wahalifu waliofanya tukio lile la kuhatarisha amani ya nchi kwa dharau hiyo wana mguvu kuliko vyombo vyetu vya usalama combined??

Itanichukua muda mrefu sana kufikiri jambo hili.
Ilikuwa ni kazi ya WASIOJULIKANA ambao walikuwa wana operate chini ya Makonda. Walitumwa na Magufuli kama walivyotumwa kumua Tundu Lissu ila Mungu akamnusuru

Siyo kwamba ni mita chache hadi makao makuu ya JWTZ, bali pia ni karibu na Saleander Bridge Police kama mita 150. Halafu wanapakana kimgongomgongo na TAKUKURU Head Office.
 
Babu yake mwenyewe alikuwa na makandokando yake

Utamsemaje marehemu,amwache apumzike

Ova
 
Babu yake mwenyewe alikuwa na makandokando yake

Utamsemaje marehemu,amwache apumzike

Ova
Ya baby yake tmewaachia nyinyi akina mrangi ndiyo muandike. Yeye amemchagua kuandika unyama wa kinyago Magufuli
 
Back
Top Bottom