Mwanaharakati anaweza kuwa mwanasiasa mzuri ?
..YES.
..mwanaharakati ni mtetezi wa wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaharakati anaweza kuwa mwanasiasa mzuri ?
Kinyago ni Baba yake chapombe.Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Tofasiri yake unaijua? Herode alikuwa ni mwenye mamlaka, lakini alipingwa na Yohana mbatizaji kwa madhambi yake, Yohana akachinjwa. Jitahidini kujua ya kutii mamlaka vinginevyo mtakuwa wapotoshaji tu. Wale vijana watatu wacha Mungu, Daniel, Meshack na Abdinego walimgomea Mfalme Nebkadneza wakatupwa kwenye tanuru la moto, Swali: Nebkadneza hakuwa na mamlaka kuu?Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.Basi,wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
Hoja nzito sana hizi.Kwani na wewe umekatazwa kuzunguka duniani kueleza ukatili wa babu yake dhidi ya Wazanzibari?
Kwani Fatma Karume ndiye aliyesababisha babu yake afanyie ukatili Wazanzibari?
Kwani ikiwa babu yake kafanyia ukatili Wazanzibari, hilo linaondoa ukweli atakaousema kuhusu Magufuli?
Tanzania tuna wamama wawili wenye akili sana: Tatma Karume na Maria Sarungi. Hawa wamama siyo wa kawaida.Huyu bibie chuma kweli kweli
Ndio unless ulitaka kumaanisha Diplomat!! Ila politics na activism zinaenda pamoja in fact wanasiasa hufanya activism at some point eg Nape, Lissu n.kMwanaharakati anaweza kuwa mwanasiasa mzuri ?
Nakwambia hivi, two wrongs do not make a right.ukweli maana yake nini mkuu???
isiwe ukweli ni tuhuma zozote zinazomkabili usiyempenda.
hapa ndio maama mwanaharakati uchwara anapokabwa kwamba harakati haziangalii nani yako kafanya,unatakiwa ufumue kote kote.
huu utoto wa kuwaambia watu wakausemee na wao wakati tunapishana vipaumbele,hulka,mifumo ya maisha na malengo ni dalili ya ushabiki.
Anatakaje?
Yupo oslo kutafuta sympathy?
Ama bado sijaelewa motive yake?
Tumshtaki Magufuli huko kaburini ama?
Kwani yeye si mTz?Anatafuata ugali na samaki...
Pamabania tumbo lako mama!
Wewe umekuwa nani uwapiganie watz
Kumfikisha marehemu kwenye vyombo vya haki?Serikali kwa sasa ina Rais mwingine ambaye anafanya jitihada za maridhiano. Naamini kama kuna ushahidi dhidi ya makosa ya mtangulizi wake, kama hayo yaliyotajwa, ni wakati mwafaka kuyawasilisha kwenye vyombo vya haki, ndani na nje ya nchi. Kuendelea kutuhumu, kama Wakili msomi, Fatma, inafikirisha na kumwondoa kwenye ustaarabu. AIBU.
Ni mamlaka zilizopatikana kihalali pekee la sivyo hata waliojitwalia mamlaka kwa kutofuata utaratibu nao watajiona wana haki.Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.
Basi, wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
Papai halizai embe.Huko Philippines kwenye Uchaguzi ulioisha Ferdinand Romualdez Marcos, ameshinda Uchaguzi wa Urais licha ya kuwa baba yake Mzazi Ferdinand Marcos alikuwa DIKTETA na alipinduliwa kwa nguvu ya umma kwenye miaka ya 1980s
Kamwe matendo ya Baba au Babu hayamhusu mwana au mjukuu
I am one among the annoyed ones! Why would she speak the truth behind Magufuli's back?
Why did Fatma hesitate to face Magufuli and tell him that his regime had dragged the country back to the dark ages?
She said she was brought up in the democratic home why did she fear Magufuli?
Why does she speak the
Sikusikia anatafuta kura.Anazani watanzania ndyo watamuelewa?? aliye tu na uhakika hata akigombea leo na huyo anaemponda wtu watachagua kivuli kuliko yy
Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16.
Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21.
View attachment 2241890
She is most intelligent and courageous person in history of our country. No doubt about her. Fatma you are the best!Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16.
Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21.
View attachment 2241890