Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Hotuba hii ya Fatma Karume mjini Oslo Norway imeelezea kwa usahihi legacy ya mwendazake, ni matumaini kuwa awamu hii itaweza kuachana na maovu ya kipindi cha 2015 -2021 ili kushawishi wananchi waTanzania na nchi za NORDIC ambazo ni wadau wa maendeleo wakubwa kwa kujenga legacy mpya kuwa nchi ya Tanzania imeachana na chembechembe za udiktekta uchwara

Monday, May 23, 2022​

MKUTANO WA 19 WA MAWAZIRI WA AFRIKA NA NORDIC KUFANYIKA JUNI 2022 FINLAND​


Na Mwandishi wetu, Dar
Mkutano wa 19 Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje kutoka katika Bara la Afrika na Nordic unatarajiwa kufanyika Helsinki, Finland kuanzia tarehe 13 – 15 Juni, 2022.

Mkutano huo utakutanisha Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje kutoka katika bara la Afrika na nchi za Finland, Norway Denmark, Iceland.

Balozi wa Finland nchini Mhe. Riitta Swan amebainisha hayo alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Mhe. Swan amesema mkutano huo utajadili masula ya amani na usalama, maendeleo endelevu na ushirikiano kati ya nchi za NORDIC na Afrika.

“Mkutano huo utajadili masuala ya amani na usalama, kuhusu umuhimu wa umini pamoja maendeleo endelevu na mabadiliko ya tabia nchi,” amesema Balozi Swan.

Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema mkutano huo
umekuwa ukifanyika kila mwaka lakini kutokana na Janga la ugonjwa wa Uviko 19, mkutano huo haujafanyika tangu ulipofanyika mara ya mwisho nchini mwaka 2019.

Katika tukio jingine, Balozi Mulamula amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Dkt. Donald Wright.

Pamoja na mambo mengine, viongozi hao wamejadili masuala ya ushirikiano baina ya Tanzania na Marekani katika sekta za Afya, Elimu, biashara na uwekezaji.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Balozi wa Finland nchini Mhe. Riitta Swan walipokutana kwa mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam
 
I am one among the annoyed ones! Why would she speak the truth behind Magufuli's back?

Why did Fatma hesitate to face Magufuli and tell him that his regime had dragged the country back to the dark ages?

She said she was brought up in the democratic home why did she fear Magufuli?

Why does she speak the truth now?
Already mentioned ,she challenged the regime,two cases not only that but if you use twitter you can check
 
Stockholm, Sweden

Ansbert Ngurumo, Journalist who fled for his life in 2017 from his native Tanzania on media freedom



Wits University hosted the 16th Carlos Cardoso Memorial Lecture in honour of the Mozambican journalist assassinated while investigating corruption 20 years ago. Journalist Ansbert Ngurumo, a journalist who fled for his life in 2017 from his native Tanzania has more....
Source : newsroom Afrika
 
Ni kweli lkn ukatiri wa JPM lazima usemwe.
Na ninaamini kwa sasa yuko jehanamu akichomwa barabara.
Tena leo kadudu kake ndio kanaunguzwa
Mama yako nae anaanza kuchokwa ulipopasema au inakuwaje? Tupe experience nabii
 

Attachments

  • IMG-20220527-WA0052.jpg
    IMG-20220527-WA0052.jpg
    59.4 KB · Views: 7
  • IMG-20220527-WA0064.jpg
    IMG-20220527-WA0064.jpg
    80.2 KB · Views: 7
Ni figurative language, ni kama mtu anavyosema kinyago nilichokichonga mimi hakiwezi kunitisha, hamaanishi kinyago in literal sense
Ndio nikasema huo msemo hutumika kwa kitu ambacho hakiwezi kukutisha, ila sasa kwa Jiwe huo mfano wa kinyago haukuwa sahihi kwake.
 
Ndio nikasema huo msemo hutumika kwa kitu ambacho hakiwezi kukutisha, ila sasa kwa Jiwe huo mfano wa kinyago haukuwa sahihi kwake.
Kwani huo msemo unapokuwa unatumika ni kuwa hicho kitu kinakuwa hakimtishi kweli?

Au hujawahi kusikia huo msemo ukitumika?

Kuna mtu unaweza ukamjenga kwenye jambo fulani, ila akaja kuwa tishio kwako,inatokea sana tu, na ndio huo msemo ilipozaliwa
 
Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
A very precise narration, natamani aandike kitabu kuhusu kinyago hicho. Fluent English! Love her tonation, asante Fatuma, asante tena na tena
 
Kwani huo msemo unapokuwa unatumika ni kuwa hicho kitu kinakuwa hakimtishi kweli?

Au hujawahi kusikia huo msemo ukitumika?

Kuna mtu unaweza ukamjenga kwenye jambo fulani, ila akaja kuwa tishio kwako,inatokea sana tu, na ndio huo msemo ilipozaliwa
Kwahiyo Fatuma alikusudia kachonga kinyago kilichokuja kumtisha?
 
Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Hii ni dhihaka na dharau kwa idara yetu nyeti ya Taifa na wazee wake. ila kwangu naona ni sawa ipo siku akili itatukaa sawa. Anaye ita wenzake vinyago na yeye..... Haya let keep silence maana mpaka anaongea maneno hayo kwenye mataifa ya kigeni na anaongelea mtu wa jamuhuri raia namba moja na amekufa kabla ya mwisho wake ukisema alihusika sijuwi kama mtu atakosea yeye ni mwana sheria anajuwa sheria na anajuwa kabisa hakuna kesi hata moja imefunguliwa ikimshutumu huyo kinyago anaye mtaja kama alihusika na hayo mambo anamshutumu mbaya yeye ni mnufaika wahao wanatengeneza vinyago na kama wasinge mtengeneza baba yake asinge kuwa Rais na huyo anaye muona sasa ndio Rais bora hao wachonga vinyago ndio wanamlinda akae pale ikulu na bado wanamlinda baba yake kule Znz na yeye amekuwa alipo hapo kutokana na hao wachonga vinyago. Well mm nakaa kimya maana hicho kinyago anakisema na yeye alikichonga akiwa sijuwi nani mm nakaa kimya. Nakaa kimya na sema nakaa kimya naijuwa Jamuhuri.
 
Hii ni dhihaka na dharau kwa idara yetu nyeti ya Taifa na wazee wake. ila kwangu naona ni sawa ipo siku akili itatukaa sawa. Anaye ita wenzake vinyago na yeye..... Haya let keep silence maana mpaka anaongea maneno hayo kwenye mataifa ya kigeni na anaongelea mtu wa jamuhuri raia namba moja na amekufa kabla ya mwisho wake ukisema alihusika sijuwi kama mtu atakosea yeye ni mwana sheria anajuwa sheria na anajuwa kabisa hakuna kesi hata moja imefunguliwa ikimshutumu huyo kinyago anaye mtaja kama alihusika na hayo mambo anamshutumu mbaya yeye ni mnufaika wahao wanatengeneza vinyago na kama wasinge mtengeneza baba yake asinge kuwa Rais na huyo anaye muona sasa ndio Rais bora hao wachonga vinyago ndio wanamlinda akae pale ikulu na bado wanamlinda baba yake kule Znz na yeye amekuwa alipo hapo kutokana na hao wachonga vinyago. Well mm nakaa kimya maana hicho kinyago anakisema na yeye alikichonga akiwa sijuwi nani mm nakaa kimya. Nakaa kimya na sema nakaa kimya naijuwa Jamuhuri.
Hicho kinyago tulichokichonga ndiyo kilikuwa kinapaswa kwanza kuhakikisha Polisi wanawakamata walioiga bomu na wale waliomshambulia Tundu Lissu. Kitendo cha kutochukua hatua ndiyo kinathibitisha uhusika wa "marehemu Kinyago" katika mashambulizi ya ofisi ya Fatma na risasi za Tundu Lissu.

Kwenye kesi ya jinai, Jamhuri ndiyo yenye jukumu la kufungua mashtaka, kwa hiyo usimuulize Fatma kwa nini hakuna aliyeshtakiwa.
 
Back
Top Bottom