Yuko vizuri kwa kimalkia, sio kama yule wa mashuka kichwaniClip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Ni kweli lkn ukatiri wa JPM lazima usemwe.Fatma Karume mtetezi wa mashoga. Watu wa mlengo wa Fatma Karume hawakumpenda Magufuli.
Hujui maandiko zaidi ya kukaririWarumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.Basi,wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
Sawa.Ni kweli lkn ukatiri wa JPM lazima usemwe.
Na ninaamini kwa sasa yuko jehanamu akichomwa barabara.
Tena leo kadudu kake ndio kanaunguzwa
Kwa hiyo anatakaje sasa!Ungeangalia video ungegundua kwamba hata kama Fatma angekua na uwezo wa kufufua watu Magufuli asingekua miongoni mwao
Mara nyingi ni ngum sana kujitenga na makosa aliyofanya mzazi wako especial katika field hii ya siasa,ndo maana hata Mungu alikuwa anatoa laana ya vizazi na vizazi wakati kosa alifanya mmoja.Fatma akitaka baba ake apumzishwe aache kusema baba wa wenzake.Anahukumiwa kwa makosa(ushahidi haujaweka)ya baba yake?Kanuni ya wapi hii?
Dini iweke pembeni.Hakuna kanuni wala sheria ya kibinadamu inayotoa hukumu kwa makosa ya mtu mwingine.Haipo.Mara nyingi ni ngum sana kujitenga na makosa aliyofanya mzazi wako especial katika field hii ya siasa,ndo maana hata Mungu alikuwa anatoa laana ya vizazi na vizazi wakati kosa alifanya mmoja.Fatma akitaka baba ake apumzishwe aache kusema baba wa wenzake.
Hivi kwanini mnachukia mtu akisema kweli?Anatafuata ugali na samaki...
Pamabania tumbo lako mama!
Wewe umekuwa nani uwapiganie watz
just curious too!Ana mume na watoto?,just curious
KInyago kile sijui nani alikileta kwetu!Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.Basi,wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
Nenda kafuatilie siasa na historia mara nyingi wanasiasa huwa na misimamo sawasawa na wazazi wao maana ndo huwa role modal wao.refer kwa akina Bush na wengine wengi na ndo maana ni ngum sana kupewa nafasi ya uongozi kama mzazi wako aliharibu.Dini iweke pembeni.Hakuna kanuni wala sheria ya kibinadamu inayotoa hukumu kwa makosa ya mtu mwingine.Haipo.
Duh aiseFatma Karume mtetezi wa mashoga. Watu wa mlengo wa Fatma Karume hawakumpenda Magufuli.
Huyu apunguze malalamiko sasa KhaClip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Sijui kama umeelewa.Haiwezekani mzazi wako atende/alitenda kosa au kuvunja sheria halafu weye uende Jela au utumikie adhabu badala yake.Watakaokuhukumu watakuwa vichaa.Nenda kafuatilie siasa na historia mara nyingi wanasiasa huwa na misimamo sawasawa na wazazi wao maana ndo huwa role modal wao.refer kwa akina Bush na wengine wengi na ndo maana ni ngum sana kupewa nafasi ya uongozi kama mzazi wako aliharibu.
Anatoa sumu mwilini.Hiyo chuki iliyokithiri itamsaidia nini?
Anatafuata ugali na samaki...
Pamabania tumbo lako mama!
Wewe umekuwa nani uwapiganie watz
Jiwe hakuwa kinyago, msemo wa kinyago una maana ya kitu ambacho kinatisha tu ila hakina madhara sasa kuna kinyago chenye kupiga bomu na risasi?Wafuasi wa jiwe watatoka mapangoni huko wataanza kumtukana hatari, hapo amefanya kufuru kubwa sana kumchafua mungu wao nje ya nchi. πππ