mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
anajifirimba mwenyewe,kapoteana.Jiwe hakuwa kinyago, msemo wa kinyago una maana ya kitu ambacho kinatisha tu ila hakina madhara sasa kuna kinyago chenye kupiga bomu na risasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anajifirimba mwenyewe,kapoteana.Jiwe hakuwa kinyago, msemo wa kinyago una maana ya kitu ambacho kinatisha tu ila hakina madhara sasa kuna kinyago chenye kupiga bomu na risasi?
Inategemea umekichonga kinyago chenye uzito wa kilo ngapi.Kama kizito na kikakuangukia unaweza kuvunjika mguu.Jiwe hakuwa kinyago, msemo wa kinyago una maana ya kitu ambacho kinatisha tu ila hakina madhara sasa kuna kinyago chenye kupiga bomu na risasi?
Sio mzima huyo.
Serikali kwa sasa ina Rais mwingine ambaye anafanya jitihada za maridhiano. Naamini kama kuna ushahidi dhidi ya makosa ya mtangulizi wake, kama hayo yaliyotajwa, ni wakati mwafaka kuyawasilisha kwenye vyombo vya haki, ndani na nje ya nchi. Kuendelea kutuhumu, kama Wakili msomi, Fatma, inafikirisha na kumwondoa kwenye ustaarabu. AIBU.Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Ngoja wajeClip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Mh! Kuna namna sio bure hadi utaje dudu katika mwili wote.Ni kweli lkn ukatiri wa JPM lazima usemwe.
Na ninaamini kwa sasa yuko jehanamu akichomwa barabara.
Tena leo kadudu kake ndio kanaunguzwa
Kuongea mambo yaliyokukuta hakuondoi ustaarabu wako na wala haupati aibu.Serikali kwa sasa ina Rais mwingine ambaye anafanya jitihada za maridhiano. Naamini kama kuna ushahidi dhidi ya makosa ya mtangulizi wake, kama hayo yaliyotajwa, ni wakati mwafaka kuyawasilisha kwenye vyombo vya haki, ndani na nje ya nchi. Kuendelea kutuhumu, kama Wakili msomi, Fatma, inafikirisha na kumwondoa kwenye ustaarabu. AIBU.
Kwa sehemu kaongea uongo?Hiyo chuki iliyokithiri itamsaidia nini?
Huyu ni mjeuri kujifanya mazungu ushoganiClip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Basi msemo wa kinyago hauna maana.Inategemea umekichonga kinyago chenye uzito wa kilo ngapi.Kama kizito na kikakuangukia unaweza kuvunjika mguu.
Inategemea hasa ukiwa haujawahi kuangukiwa na kinyago.Basi msemo wa kinyago hauna maana.
Hiyo Biblia mnaitumia vibaya. Na siku zote mnajificha kwenye huo mstari wa kwamba tutii Mamlaka kwa vile zinatoka kwa Mungu. Mbona Mungu mwenyewe alimtuma Musa kuwakomboa wana wa Israel toka kwa Farao?Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.
3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.Basi,wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
Kumbe Magu alikuwa anapambana na Mashoga!?Fatma Karume mtetezi wa mashoga. Watu wa mlengo wa Fatma Karume hawakumpenda Magufuli.
Nipe address ya mme wake ili nikamwulize.Nenda kamuulize mumewe swali hilo kama hujakula vitasa! Usiende nje ya mada hata kama wewe ni worshiper wa Mwendazake
Nimezungumzia maana ya msemo wa kinyago, angeweza kutumia neno dikteta au lengine ila msemo wa kinyago ulichokichongo mwenyewe una maana ya kitu ambacho hauwezi kukiogopa, sasa Jiwe sio tu kwamba alikuwa anatisha bali alikuwa anadhuru kabisa sasa unamwiitaje kuwa ni kinyago ulichokichonga?Inategemea hasa ukiwa haujawahi kuangukiwa na kinyago.
Huko Philippines kwenye Uchaguzi ulioisha Ferdinand Romualdez Marcos, ameshinda Uchaguzi wa Urais licha ya kuwa baba yake Mzazi Ferdinand Marcos alikuwa DIKTETA na alipinduliwa kwa nguvu ya umma kwenye miaka ya 1980sMara nyingi ni ngum sana kujitenga na makosa aliyofanya mzazi wako especial katika field hii ya siasa,ndo maana hata Mungu alikuwa anatoa laana ya vizazi na vizazi wakati kosa alifanya mmoja.Fatma akitaka baba ake apumzishwe aache kusema baba wa wenzake.
Siku zote ndio hoja zenu.Fatma Karume mtetezi wa mashoga. Watu wa mlengo wa Fatma Karume hawakumpenda Magufuli.
Ama kweli umepotea njia. Huu ni msemo tu na siyo kwamba anasema kuwa Jiwe hakuwa anatishia watu. Magufuli alikuwa mtu katili na angeweza kuagiza mtu afanyiwe jambo lolote ili tu aonekane yeye ni zaidi. Sasa huu msemo una maana kuwa pamoja na hayo yote lakini alikuwa pale kwa sababu yetu inabidi kila mwananchi kutokuogopa kusema anapofanya mabaya.Nimezungumzia maana ya msemo wa kinyago, angeweza kutumia neno dikteta au lengine ila msemo wa kinyago ulichokichongo mwenyewe una maana ya kitu ambacho hauwezi kukiogopa, sasa Jiwe sio tu kwamba alikuwa anatisha bali alikuwa anadhuru kabisa sasa unamwiitaje kuwa ni kinyago ulichokichonga?