Lissu yupo hai, anaweza kuongea, kutembea na kufanya siasa kama kawaida, alizunguka nchi nzima akipiga kampeni bila tatizo lolote.. Jiwe ameshaoza
Kila mtu atakufa ndio, sasa kama ni hivyo kwa nini alitaka kumuua Lissu asisubiri akafa mwenyewe naturally? Maana alijua kuna kitu fulani atakipata kwa Lissu kufa mapema sio?
Sasa hicho alichotaka kukipata hakukipata ila Lissu ndio kakipata, yeye kafa mapema, Lissu anaishi
Ukweli huu wengi wanajaribu kuukwepa na kuukataa kwa hoja za ajabu ajabu sana...
Ila ukweli upo na umesimama tisti kuwa, Hayati Rais John P. Magufuli ndiye aliyeamuru Tundu Lissu kupigwa risasi ama auwawe kwa njia yoyote ile bila sababu yoyote ile..!!
In any case, hakuna sababu yoyote inayoweza ku - justify mtu mwingine kumuua binadamu mwenzake...
Magufuli hakuwa na sababu ya kutoa amri ya kuuwawa mtu huyu...
Inawezekana sababu ikawa;
"...Tundu Lissu alikuwa anamkera sana Rais Magufuli.."
Kama hii (na ofcoz ndivyo ilivyo) ndiyo sababu, basi naweza kusema bila shaka yoyote kuwa, basi huyu alikuwa Rais mjinga, dhaifu na mpumbavu sana...!
Mungu aliyetuumba tunamkosea kila siku. Tuna mkera kila siku. Tunamtukana kila aina aina ya matusi, lakini haamuru tupigwe risasi 37 kila mtu tufe!
Yeye Magufuli alikuwa nani ajichukulie sheria ya Mungu ya kuua mikononi mwake...?
It was a big mistake of his life time na ambalo limegharimu maisha yake, na definitely, alistahili AFE HUYO..!