Video: Fungulia mbwa uwanja wa B.Mkapa Siku ya Wananchi

Video: Fungulia mbwa uwanja wa B.Mkapa Siku ya Wananchi

Hata ikiwa 3000 bado watu hawaingii uwanjani.
Na ndio maana siku zote nasema viwanja vyetu vyapaswa kuwa vya watu 10000 hadi 25000 max
Mkuu, umefanya uchuguzi ndipo umekuja na hiyo hitimisho au ameongea tu? Ni lini kiingilio kikawa elfu tatu wiki ya wananchi na watu wakashindwa kuingia kwa wingi? Au lini iliwekwa kiingilio cha elfu tano au tatu Simba day na mashabiki wakashindwa kuingia kwa wingi? Au ni lini imechezwa mechi ya Yanga ya kimataifa kwa kiingilio cha elfu tatu na kisha mashabiki wakashindwa kuingia kwa wingi? Ukiachana na nchi za kiarabu, Tanzania ndio inayofuata kwa kupenda kuingia uwanjani kuangalia mpira, ila wengi wa watu wa namna hiyo ni wa kipato cha kawaida na wengi wao wanatoka hadi mikoani, sasa kiingilio cha elfu kumi ni nyingi kwao.
 
Probably hizi Days zimeshazoeleka vya kutosha hadi kukinaisha maybe they have squeezed enough cash its about time waje na jambo jipya kila mtu afanyie hii day sebuleni kwake au akiwa Bar anaburudisha koo na sio kupigwa jua....

Tatizo Bongo hizi taasisi (zote) zikishaona sehemu za kumkamua mwananchi zinacheza palepale bila varieties hence mwisho wa siku watu wanakinai (mix it up a bit)....
 

Attachments

  • IMG-20230722-WA0024.jpg
    IMG-20230722-WA0024.jpg
    84.5 KB · Views: 3
View attachment 2696743

Fungulia mbwa waifanye Utopolo matusi tupewe sisi
Mlivyo na roho Mbaya, ile mvua yenu Jana ya kishirikina imedhinitiwa ndio inanyesha leo Dar, mmetumia kila njia Tamasha lisifane lakini aibu kwenu, tamasha limefana na upande wa vikosi viwili niongee au niishie hapa?

Sasa kuhusu kocha bora mngeombea Nabi abaki, huyu muargentina kumbe ndio katili ajabu.
Sasa Jana mmewekewa vikosi viwili chaguweni wenyewe mchinjwe na kipi kwenye ngao ya jamii?
 
Habari ya mjini kwa sasa siyo fungulia mbwa. Bali ni kuachwa kwa kiungo kisiki kama Jonas Mkude Casemiro, na kubakizwa John Bocco kwenye kikosi!

Hivi viongozi wenu waliwaza nini kumuacha mchezaji wa aina ile!! Jana kacheza mpira mkubwa sana. Na binafsi namtabiria makubwa ndani ya hii misimu miwili.
 
Back
Top Bottom