Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Akihutubia umati mkubwa wa watu kwenye kata ya Kaloleni Lema amewaomba wananchi wamchague mbunge atakayehoji serikali, wasichague mbunge bubu ambaye kazi yake itakuwa ni kugonga meza na kusema ndio tu.