Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mpe msambwanda wako aanze kuula kidogo kidogoNa sisi tuna taka kiongozi wa namna hiyo atutafune vizuri akiwa bungeni shwaini wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe msambwanda wako aanze kuula kidogo kidogoNa sisi tuna taka kiongozi wa namna hiyo atutafune vizuri akiwa bungeni shwaini wewe
Gwajima anatosha Kwa Kawe!
Kuna outstanding issues ambazo kupitia yeye atashirikiriana na Serikali kuzitatua!
Hakika Gwajima ni atatosha!
Anatosha kuiwakilisha familia yako na mume wakoGwajima anatosha Kwa Kawe!
Kuna outstanding issues ambazo kupitia yeye atashirikiriana na Serikali kuzitatua!
Hakika Gwajima ni atatosha!
Na wewe sio mmoja wa wale mliompigania siku zile? Mkiponda na kufokafoka?Anahubiri asichokiamini.. Anaamini asichokihubiri
Anatosha kuiwakilisha familia yako na mume wako
Acha vitisho.Chadema kwa huyu mnaingia cha kike, nimewahi kusema na narudia, hali yenu sasa na mlikotoka pengine hamjielewi. Mna makando mengi na kuchokonoa watu aina ya Gwajima mtakuja kutafutana humu. Kaeni kimya ili mtunze silaha zenu na kuzitumia wakati muafaka.
Huyu jamaa ni muhuniKwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Auko sahihi kabisaHaimaanishi mganga... bali watumiao fursa "kuganga njaa zao!" Hata wakafikia kusema "...kuwa lofa ni ufala!!:
Upo naye mkuuMungu akusamehe wewe kwa kuropoka ropoka
Naam maneno mazima haya Mkuu.Kwa sababu yeye mwenyewe anasaidiwa na hizo sadaka
Auko wa kenya au ulimaanisha "hauko"?Auko sahihi kabisa
Atakuja kusema Roho Mtakatifu amemlazimisha agombee Ubunge ili aipeleke Injili Mjengoni.
Unataka ukaeneze uzinzi bungeni? rizika na sadaka acha njaa.Mweu wewe mwenzako anapiga hatua
Safi sana! sasa ameamua kujishusha chini kabisa! ama kweli Wasanii ni wengiKwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
😆😆😆Safi sana! sasa ameamua kujishusha chini kabisa! ama kweli Wasanii ni wengi
Mtu asie na aibu ni tapeliKwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174