Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata point...mwindaji huwindwa.....Aisee,
Muwindaji nae huwindwa!
Mkuu fafanua...mkuuKuna watu wamezidiwa akili na huyo Nyoka!
😁😁😁😁Aisee,
Muwindaji nae huwindwa!
Unachekaa eeeee😁😁😁😁
Natafakari hili tukioUnachekaa eeeee
Ndege alijua amepataa kitoweo kumbe ame be trapped...Natafakari hili tukio
Mm nilipo tazama mwanzo nilijua ni mdudu na ndege alikua ameweka mawindo kumbe ni nyoka ameweka mawindo....Sasa jiulize huyo nyoka akili hiyo kapata wapi..?
Haya mambo ukiwaza sana,ndio unajua Mungu yupo.Mm nilipo tazama mwanzo nilijua ni mdudu na ndege alikua ameweka mawindo kumbe ni nyoka ameweka mawindo....
Yaan Ina staajabisha.....Haya mambo ukiwaza sana,ndio unajua Mungu yupo.
Ni kwel,kuna watu wameshndwa kutoka nyumban wanawaza nivip wataweza pata hela ya kuendesha maisha yaoKuna watu wamezidiwa akili na huyo Nyoka!
Hapo kuna camera nyingi moja imetegeshwa ktk uelekeo wa icho kitawi,na ingine uelekeo wa ilo pango,itakua kuna time walinasa tukio ilo ikabidi watege vyema kunsa ilo tukio, ila nyoka mjanja san mi nikajua mdudu walai khaaNaumiza kichwa huyo mtaalam anayechukua video matukio kama hayo .
Hata kama automatic camcoder , alijuaje kwenye pango hilo patatokea tukio hilo!