peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kateshi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli auKateshi!!
Tupe tumaelezo twakutosha Toshiba au unafukuzwa na mafuriko,kwani kwenye msafara wa uokoaji napole kwa wahanga wahusika wa utabiri wa hali ya hewa hawa hawakufika🤔
Mwawazo ya kijinga sana.lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Mwawazo ya kijinga sana.
ccm yenu ina uwezo wa kutengeneza mvua?.
Katesh kuna msitu gani au hujui jiografia?
Hii nchi ina watu wajinga sana.. haya ndiyo mawazo ya vijana walio wengi huku Tanzanialengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
Hii nchi ina watu wajinga sana.. haya ndiyo mawazo ya vijana walio wengi huku Tanzania
Chailengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
We nae waziri alitokea babati huko ni hanang.lengo ni kuwaamisha kama ngorongoro ili wachukuwe misitu, ilifanyika hawaii USA pia, walichoma moto mji mzima halafu watu hawakuruhusiwa kurudi wakapora ardhi, tegeni sikio mtaona kitakachofwatia.
kila kitu kimepangwa wanacheck boxes tu, walimchomoa waziri wa sheria ambaye huko ni kwao kwanza, halafu wakalipua mlima, btw kesi yake imefikia wapi ?
We nae waziri alitokea babati huko ni hanang.